Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,092
- 2,913
- Thread starter
- #21
Ok frankly speaking..npo chuo mwaka wa pili...Wala hamna shida mzee kaka!!
Ok frankly speaking..npo chuo mwaka wa pili...Wala hamna shida mzee kaka!!


Sometimes shukuru Mungu.. Maana akunyimaye kunde anakupunguzia mashoes
Jr![]()
All men are same but not equal...Mimi nikimtongoza mwanamke akanikataa naanza kujipa moyo labda anaukimwi anaogopa kuniambukiza ndo maana kanikataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi yaelewa Mapenzi kabisaa, labda hapo baadae nitajua yanahitaji nn
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE still young
Mkuuu sio Jambo dogo,mi haiwezekani.. nimependa Niko tiyari kufa Kwa ajili yke anikataeKajambo kadogo kanakusumbua. ( 3K).
Unajua kuna wana hawana pesa, Ila nyapu wanazigonga mpaka basi??.
Assume kama hao mademu wana Ngoma , sasa wanakuepushia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanin anikatae hio ndo shida...tena Kwa dharau ..eti sina hisia na ww ,hii bro Hadi leo physiologically imeniaffectAlafu watu wengine mnatafuta stress wenyewe
Demu akikukataa we unatakiwa ukubali huo ndio uhalisia
,usipende kuforce mapenzi
Maana mwisho wa siku watu kama nyie ndio wale ambao mwisho wa siku mkiachwa mnakuja kufanya matukio ya ajabu
,kwani shida ipo wapi ?
😅👏👏Alafu watu wengine mnatafuta stress wenyewe
Demu akikukataa we unatakiwa ukubali huo ndio uhalisia
,usipende kuforce mapenzi
Maana mwisho wa siku watu kama nyie ndio wale ambao mwisho wa siku mkiachwa mnakuja kufanya matukio ya ajabu
,kwani shida ipo wapi ?
Doh kubali matokeo tuKwanin anikatae hio ndo shida...tena Kwa dharau ..eti sina hisia na ww ,hii bro Hadi leo physiologically imeniaffect
hahaha Aisee hivi viumbe jamani upo tayari kufa kabisaMkuuu sio Jambo dogo,mi haiwezekani.. nimependa Niko tiyari kufa Kwa ajili yke anikatae
Mkuu umekwiva hizi mbinu mi sinaga mi introvert plus shyness masterbation imeshusha confidence yng Sana..Ila ngoja nitafute pesa tuHate gives me strength, even when there is no hope, hate keeps me alive. Quote toka movie ya Van Damme inaitwa In Hell.
Anyway una matatizo. Na matatizo yako ni kujihisi you are so so so perfect that nobody should ignore the opportunity to ride your dick.
My nigga you are wrong. Badilisha mbinu za kutongoza, kanuni ya kwanza ya kutongoza ni "eyes on the prize" au "never lose focus" mfano kuna mabinti wanne wote wameonyesha green light usijichanganye ukawatokea wote wanne kwa wakati mmoja.
Unaanza na mmoja mmoja mpaka wote wanaisha. Ukijichanganya utajikuta unakosa wote au unapata mmoja wengine unawakosa.
Pia kua faster kunotice inner person wa mhusika wako halafu deal na inner person.
Mwisho kidogo, mfanye mwanamke ajihisi she is in control, like atakupangia muda wa kumuona, kumpigia, atachagua siku ya kukutembelea, atachagua siku ya game ila nini ujue? Eyes on the prize
Yap exactly...like our role model platnumzWrite your reply...HALAFU UKIPATA NOTI NI MWENDO WA PAYBACK NAKUELEWA MZAZI
Mkuu nadhani bado hujapenda wwhahaha Aisee hivi viumbe jamani upo tayari kufa kabisa