leo kama dk 5 zimepita nikiwa hapa barabara inayoelekea pepsi nimeshuhudia mwanamke mmoja akijifungua barabarani kwa msaada wa baadhi ya wafanyakazi wa pespi(wanawake) na wapita njia, ila amejifungua salama na sasa wamempeleka hsptal! Hv ni kweli m2 unafika siku kama hiyo alafu bado unazulula 2? Au tatizo ni nini?
Mungu yuko na huyo mama,namuombea baraka zaidi.Je, tumeshudia wangapi wakipoteza maisha wakati wakujifungua wakiwa Hospitali na vitua vya afya ndani ya miaka hamusini ya uhuru wa tz?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.