Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,198
Wachina wanakula mijusi, Wahehe wanakula mbwa, Wamakonde/Wamakua/Wafipa wanakula Panya, Wafaransa wanakula konokono!..Kwa hiyo wewe unaweza kula mjusi kwa kuwa kaumbwa? Nyama ya binadamu mwezio unaweza kula si nae kaumbwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaamini hakuna binadamu anayekula binadamu!?..