Wanaume bwana...kinachowasumbua ni kwamba mnawatamani sana hao wanaobinua matako, mnatamani mngewaoa hao ila mnaogopa macho ya watu. Mnaoa vijuso kwa shingo upande ndio maana hamuachi kuwakodolea macho hao wanaotembea nusu uchi huku mkijisifia kuwasaliti hao mliowaita wa heshima na kwenda kuchepuka na hao kwa sababu ndio hao mnaowatamani, ndio maana mkiwaona roho zinawatoka...mnatamani wangebadilika waishi kama mnavyotaka ninyi ila ndio maisha waliyochagua usitake mtu abadili mfumo wa maisha yake kwa maslahi ya kwako wewe
#nohardfeelings
Sent using
Jamii Forums mobile app