Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,493
- 45,832
nami nina mawazo sawa na haya yako kwa asilimia kubwa, alipo oa black niliwaza sana Queen atamwangaliaje?
Mkuu
Harry alipokwenda kuomba idhini ya kuoa kwa bibi yake (Malkia) alilipokea kwa furaha sana na baada ya mazungumzo pale Buckingham Palace alimchukua na kuongozana nae kwenye corridors za jengo hilo na kwenye kuta zote Kuna picha kubwa kubwa za watangulizi na ndugu wa familia ya kifalme
Ndipo Queen akamuonyesha picha moja ya Queen Charlotte na kumwambia Huyu ni bibi yangu na ni Black kwa hiyo hata mimi nina damu ya black na ndipo akatoa baraka zote
Tatizo ni media ndio zimewaandama sana
Sent from my iPhone using Tapatalk