Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 27,997
- 44,824
Baada ya masaa watakuwa kwenye kikao
Sent from my iPhone using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaaniiii
Mkuu:
Lkn kuna wakati ilisemekana Prince Charles alipima DNA zake na huyo kijana wake sifahamu ilifikia wapi.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kwa kweli sijui ila sura haidanganyi
Sent from my iPhone using Tapatalk
We mswahili si umezoea kuwa sultan wa familia.Huyu mwanamke anampelekesha huyu jamaa na kuna uwezekano ndoa yao ikaota mabawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usicheze na PAPUCHI ya asili ya afrika!!Huyu mwanamke anampelekesha huyu jamaa na kuna uwezekano ndoa yao ikaota mabawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya masaa watakuwa kwenye kikao
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sura ya Harry na horse trainer au????
Unawaonaje Mkuu
Naona wamefanana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kabisa mkuu....mpaka Nywele yaani...
Na mdomo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kumbe sababu kubwa kuna jarida liliandika ni kwa sababu Will anamyanyasa sana mdogo wake bullying
Ila wamekanusha hao ndugu na kusema ni uongo wa waandishi
Media wabaya sana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kumbe sababu kubwa kuna jarida liliandika ni kwa sababu Will anamyanyasa sana mdogo wake bullying
Ila wamekanusha hao ndugu na kusema ni uongo wa waandishi
Media wabaya sana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Wanahabari wanajua kukuza jambo tena ukute jambo lenyewe litaleta hamaki wanalisimamia haswa
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaKama hataki maisha ya kifalme awakabidhi CCM madaraka hayo.
Wanahabari wanajua kukuza jambo tena ukute jambo lenyewe litaleta hamaki wanalisimamia haswa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bullying ...kuwa kaoa mweusi au???
Hapana mkuu Sio kwa weusi bali alimuambia usiharakishe kuoa
Mpaka saa hizi Harry hajafika ila wote wapo Sandringham na reporters wote toka USA German na France wapo na makamera yao
Ila simuoni Kikeke
Sent from my iPhone using Tapatalk