Mwanamfalme wa Uingereza Prince Harry na mkewe Meghan Markle kujiondoa katika familia ya Kifalme (Royal Family)

Nikiangalia saikolojia ya Harry naona kabisa kuwa anaamini royal family ilihusika na kifo cha mama yake, Princess Diana. Ndiyo maana mara zote amekuwa akifanya vitu vya kitofautitofauti ili kumalizia hasira zake. Hata kumuoa Meghan nadhani, pamoja na mapenzi, ilikuwa kuikwaza tu familia yake kwa kuingiza damu ya mtu mweusi katika ukoo wa kifalme wa Uingereza.
Nakuunga mkono chief
 
Tusijadili hatujui nyuma ya pazia , wote tunajua matatizo ya familia ,
Pili endapo familia ikiwa na kauchumi .
Sasa hapo ni kugombea madaraka yani nahisi ndani ya familia hii kuna timbwili la hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamfalme wa Uingereza Prince Harry na mkewe Meghan Markle wanataka kujiondoa katika majukumu ya familia ya kifalme.

Aidha, Prince Harry na Meghan Markle wanasema kuwa baada ya kujitafakari na kujadili kwa muda mrefu wameamua kufanya mabadiliko mwaka huu kwa kujionda katika majukumu ya juu ya familia hii na kuangalia majukumu mapya.

Waliongeza kuwa, wamekusudia kujitoa kama wanachama wakubwa wa familia ya kifalme na kufanya kazi nyingine za kujiingizia kipato na kujikuza kiuchumi huku wakiendelea kuunga mkono juhudi zote za Malkia Elizabeth.
Zaidi Soma:
The Duke and Duchess of Sussex have said in a statement they “intend to step back as ‘senior’ members of the royal family and work to become financially independent”.

The official statement from Prince Harry and Meghan said: “After many months of reflection and internal discussions, we have chosen to make a transition this year in starting to carve out a progressive new role within this institution.

“We intend to step back as ‘senior’ members of the royal family and work to become financially independent, while continuing to fully support Her Majesty the Queen.

“It is with your encouragement, particularly over the last few years, that we feel prepared to make this adjustment.

“We now plan to balance our time between the United Kingdom and North America, continuing to honour our duty to the Queen, the Commonwealth, and our patronages.

“This geographic balance will enable us to raise our son with an appreciation for the royal tradition into which he was born, while also providing our family with the space to focus on the next chapter, including the launch of our new charitable entity.

“We look forward to sharing the full details of this exciting next step in due course, as we continue to collaborate with Her Majesty The Queen, the Prince of Wales, the Duke of Cambridge and all relevant parties. Until then, please accept our deepest thanks for your continued support.”

The couple have appeared increasingly unhappy in recent months with their public roles and the level of scrutiny they have faced.

In October, Meghan began legal proceedings against the Mail on Sunday after the paper published a handwritten letter she had sent to her estranged father. The action was launched alongside a scathing statement from Prince Harry denouncing the media’s “bullying” of his wife; behaviour he likened to the treatment of his mother, Princess Diana.

He said he could no longer be a “silent witness” to Meghan’s “private suffering”, adding that his “deepest fear is history repeating itself”. He wrote: “There comes a point when the only thing to do is to stand up to this behaviour, because it destroys people and destroys lives. Put simply, it is bullying, which scares and silences people. We all know this isn’t acceptable, at any level. We won’t and can’t believe in a world where there is no accountability for this.

“I lost my mother and now I watch my wife falling victim to the same powerful forces.”

The royal family has been slimmed down over the course of the last few years, with greater focus being placed on those most senior in the line of succession.

During the Queen’s diamond jubilee celebrations in 2012, only a core group of family members was invited to accompany the monarch and her husband on her royal barge. They included Prince Charles and his wife, Camilla, as well as his two children and their spouses.

Other relatives – including Charles’s brother the Duke of York and his daughters, Princesses Beatrice and Eugenie – were placed on a separate vessel. Last year, Prince Andrew stepped back from public duties, having been forced to deny a series of allegations about his sexual conduct.

The Duke of Edinburgh decided to retire from public duties in 2017.

Source: Prince Harry and Meghan to step back from royal family
Huu upuuzi ungekuwa afrika wangekuwa wanakosoa kila siku.....bora wamejitoa wamegundua no ujinga tu
 
Hapa umezungumza.

Aliyeanza kuiudhi uongozi wa Royal Family ni Princess Diana mwenyewe kwa kujichanganya sana na watu mbalimbali lakini zaidi kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mwarabu Mmisri El Fayed.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mwarabu alikuwa anamkuna vilivyo na Diana pale alikuwa yupo tayari kuitelekeza mambo yao ya kifalme kwa pigo za takbir
 
Hapa umezungumza.

Aliyeanza kuiudhi uongozi wa Royal Family ni Princess Diana mwenyewe kwa kujichanganya sana na watu mbalimbali lakini zaidi kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mwarabu Mmisri El Fayed.

Sent using Jamii Forums mobile app

Lakini Mkuu tatizo alianza Charles mwenyewe maana hakutaka kuachana na Camilla
Hata baada ya kumuoa Di bado alikuwa anatembea nae
Hiyo ilimfanya Di awe mpweke na kuanza kuegamia bega la wanaume ili wamfariji (hakuna kitu kibaya kama mwanamke kwenda kulalamika matatizo yake kwa mwanaume mwingine) matokeo yake ni mahusiano tu maana unabembeleza mpaka unaanza kumshika
Anyway makosa makubwa yalifanyika na sio mara moja bali mara 4


Sent from my iPhone using Tapatalk
 

Unakumbuka enzi za uhai wa Diana aliwahi kutembea na trainer wake wa Farasi
Mjeda mmoja aitwae James Hewitt
Sasa basi (unoko wao huo) wakasema Harry ni mwanae
Mimi sitii neno ila wewe uamue kwa picha hii View attachment 1319500


Sent from my iPhone using Tapatalk
Aisee! Kumbe Harry anajua asli yake ndio maana anaishi maisha hayo. Mungu ampe wepesi na ndoa yke idumu maana ndio salama yake na mkewe ndio faraja yake.
 
Aisee! Kumbe Harry anajua asli yake ndio maana anaishi maisha hayo. Mungu ampe wepesi na ndoa yke idumu maana ndio salama yake na mkewe ndio faraja yake.

Tatizo media hawampi amani ni wabaya sana
Namhurumia sana lakini ana mke mwenye msimamo nae no matter what


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mtujuze jamani, hivi yule mume wa marehemu Diana yeye hawezi kuwa mfalme? Maana naona anatajwa Wlliam wakati Baba yake bado yupo hai!
Charles naona alipoteza umaarufu sana baada ya kumsaliti Diana kwenye ndoa yao...kisha Divorce..ukizingatia Princes Di ndo aliolewa bikra na alikua mwaminifu kwenye ile ndoa na alipendwa na wengi

kama hio haitoshi Di akafariki kwa ajali ambayo inaaminika imepangwa na Royal Family haohao

na kama hio haitoshi akaja kumuoa Camilla Parker long time mchepuko wake na x girlfriend kabla ya Diana..mwanamke ambae ndo alisababisha Charles na Diana kuachana

inshort Kate and William wanapendwa zaidi kuliko Charles na Camilla
 
Royal Famiy ilichomoa battery huyu dogo ameamua kuwasha kiberiti

Ebu nifafanulie kidogo huyu Henry si mama yake ni yule princess Diana, huyu William ni Nani na huyu princess Diana alikua bint wa Queen Elizabeth? Na ni Nani anayetegemewa kuwa mrithi wa Queen na huyo mrithi cycle yake ikoje ktk kuzaliwa royal family?
Asante na samahani Kwa swali refu
 
Ebu nifafanulie kidogo huyu Henry si mama yake ni yule princess Diana, huyu William ni Nani na huyu princess Diana alikua bint wa Queen Elizabeth? Na ni Nani anayetegemewa kuwa mrithi wa Queen na huyo mrithi cycle yake ikoje ktk kuzaliwa royal family?
Asante na samahani Kwa swali refu
Prince William na Harry ni mtu na kaka yake mama yao ni princess Diana

kwa uelewa wa haraka zaidi tizama hii family tree utajua fasta sn nani ni nani
89FDB10B-2A66-4C0A-A376-DF53F8B9DE2C.jpeg
 
Kitanda hakizai haramu hafu ukute dogo kajipima DNA imesoma damu ya kimalkia -ve1

Unakumbuka enzi za uhai wa Diana aliwahi kutembea na trainer wake wa Farasi
Mjeda mmoja aitwae James Hewitt
Sasa basi (unoko wao huo) wakasema Harry ni mwanae
Mimi sitii neno ila wewe uamue kwa picha hii View attachment 1319500


Sent from my iPhone using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... uko sahihi! Prince Harry is 6th in line to the throne na hapo, kama ulivyoeleza, ni endapo William hatoongeza mtoto which means atazidi kutupwa pembezoni kabisa huko. Kutegemea angalau watu watano wenye sifa wafe ndipo wewe uchukue nafasi ni zaidi ya ukichaa. Ingekuwa Afrika huku ni rahisi kuloga ukawamaliza wote lakini sio Ulaya. Wameamua kujiongeza.
Hahahaaa Africa.
 
... uko sahihi! Prince Harry is 6th in line to the throne na hapo, kama ulivyoeleza, ni endapo William hatoongeza mtoto which means atazidi kutupwa pembezoni kabisa huko. Kutegemea angalau watu watano wenye sifa wafe ndipo wewe uchukue nafasi ni zaidi ya ukichaa. Ingekuwa Afrika huku ni rahisi kuloga ukawamaliza wote lakini sio Ulaya. Wameamua kujiongeza.

Una maneno


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiangalia saikolojia ya Harry naona kabisa kuwa anaamini royal family ilihusika na kifo cha mama yake, Princess Diana. Ndiyo maana mara zote amekuwa akifanya vitu vya kitofautitofauti ili kumalizia hasira zake. Hata kumuoa Meghan nadhani, pamoja na mapenzi, ilikuwa kuikwaza tu familia yake kwa kuingiza damu ya mtu mweusi katika ukoo wa kifalme wa Uingereza.
nami nina mawazo sawa na haya yako kwa asilimia kubwa, alipo oa black niliwaza sana Queen atamwangaliaje?
 
... uko sahihi! Prince Harry is 6th in line to the throne na hapo, kama ulivyoeleza, ni endapo William hatoongeza mtoto which means atazidi kutupwa pembezoni kabisa huko. Kutegemea angalau watu watano wenye sifa wafe ndipo wewe uchukue nafasi ni zaidi ya ukichaa. Ingekuwa Afrika huku ni rahisi kuloga ukawamaliza wote lakini sio Ulaya. Wameamua kujiongeza.
Me naona kama wanarudia kuigiza Jumong series
 
Back
Top Bottom