witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
AimenAs usual "the good always die young" vizuri huwa havidumu maishani ila wale watu mizigo na tatizo huwa hawafi haraka maana shetani huwa hajisumbui kuwawinda, anawaachaga waendelee kublock mitkasi ya wenzao then wanakuwa wanamsaidia kazi zake.
Satan is smart and strategic.
Hopefully, they are in better place now.
Hallelujah!