Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

As usual "the good always die young" vizuri huwa havidumu maishani ila wale watu mizigo na tatizo huwa hawafi haraka maana shetani huwa hajisumbui kuwawinda, anawaachaga waendelee kublock mitkasi ya wenzao then wanakuwa wanamsaidia kazi zake.

Satan is smart and strategic.

Hopefully, they are in better place now.

Hallelujah!
Aimen
 
Tony Blair alikuwa mkatoliki mkuu!
Alikulia na kulelewa Anglican, baadaye akawa anahudhuria misa Katoliki sababu ya mkewe, but hakuwa mtu wa dini kihivyo na hilo la ukatoliki alikiri baadaye. Nadhani hii trend ya Uanglican wataibadili pale ambapo watatenganisha kiti cha ufalme na kanisa
 
Alikulia na kulelewa Anglican, baadaye akawa anahudhuria misa Katoliki sababu ya mkewe, but hakuwa mtu wa dini kihivyo na hilo la ukatoliki alikiri baadaye. Nadhani hii trend ya Uanglican wataibadili pale ambapo watatenganisha kiti cha ufalme na kanisa
Ok mkuu!....basi Harry kamchomolea asihudhurie harusi yake

Haijatajwa sababu!
 
Ok mkuu!....basi Harry kamchomolea asihudhurie harusi yake

Haijatajwa sababu!
Atakuwa hakutaka tu wahudhurie hao wanasiasa ili kumaintain political neutrality ya Royal family maana ingelazimu akimwalika May pengine amwalike na mpinzani wake Cobyn. Royal family inatakiwa kutojihusisha na ushabiki wa kisiasa, japo naona wangewaalika tu sababu ya umuhimu wa vyeo vyao
 
Atakuwa hakutaka tu wahudhurie hao wanasiasa ili kumaintain political neutrality ya Royal family maana ingelazimu akimwalika May pengine amwalike na mpinzani wake Cobyn. Royal family inatakiwa kutojihusisha na ushabiki wa kisiasa, japo naona wangewaalika tu sababu ya umuhimu wa vyeo vyao


Si ndio, cos it's a National Celebration.
 
Majina yana mengi sana na kuna mengi ya kujifunza kwenye sayansi ya majina na effect zake.

Kikawaida, Diana ni jina lenye kubeba hisia za kupendwa, mahaba mazito na usaliti sana katika mapenzi.

Michael Jackson tangia akiwa mtoto alitokea kumpenda sana Diana Rose aliemzidi umri mrefu tu na Diana alionesha kumpenda Michael japo ilikuwa ni kinafiki na kutokana na future ya Michael kuonekana kuwa bright and promising in music career since akiwa kwenye band ya home kwao ya Jackson 5...maisha yakaendelea then baada ya Diana kupata money and fame kutoka kwa wacko jacko via super success ya MJ akamtosa Michael na kwenda kwa mwanaume aliempenda kwa dhati moyoni mwake since day one...hapa ndio Michael akacompose ngoma Kali iliyofanya vizuri ya "dirty Diana " humo kamtandika Diana kwa maneno ya kukausha uzazi msemo wa wit..lol!

Fortunately, mwaka 1988 alikuwa na concert kubwa sana pale London na princess Diana alihudhuria, Michael akaona sio busara kuimba dirty Diana inaweza kumuhudhi princess kutokana na lugha kali iliyomo ndani ya ngoma na akatibua sherehe maana Diana nae ana magumu ya mapenzi yaliyokuwa yanamsibu.. Alipotaka kukaushia Diana akapeleka notes pale stejini kwamba anaupenda sana wimbo wa dirty Diana na angependa kuona Michael anauimba live..maana ndio favorite song yake hiyo. Loh! Michael hakuamini na kama kawaida yake...aliitendea haki ngoma hadi mamoniwalk na performance ya kukumbukwa Daima.

princess Diana was special!, though this life was never meant for someone as beautiful as her. Gone too son. View attachment 781528View attachment 781529
Chura haipo jamani Behaviourist wapi
 
Back
Top Bottom