witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,089
Mambo ya wanasiasa Harry kachomoa!Jamaniii!akili za bangiii
Katafuta washkaji tuu!
Ila kwanini hajamuita Riri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya wanasiasa Harry kachomoa!Jamaniii!akili za bangiii
Kumbe hujaolewa fursa hii.Nipo nawaza yangu jamani sijui ndio nami harusi yangu itakuwa ya wilayani tu hata mikoani haifikii bahati hiziii
Kumbe hujaolewa fursa hii.
riri angekuwa talk of the town mamaa....Mambo ya wanasiasa Harry kachomoa!
Katafuta washkaji tuu!
Ila kwanini hajamuita Riri?
Ngoja nianze kujipendekeza,haya majina yanatuogopesha sana
Haahaaa....Riri angejifanya shughuli yake!riri angekuwa talk of the town mamaa....
Wameangalia wale ambao hawana maajabu sanaa ndo waliowapendekeza!!!
Masupastaa wale lazima wateke shughuli!Haahaaa....Riri angejifanya shughuli yake!
Halafu nimesoma sehemu Harry aliacha siti moja wazi kumuenzi mama yake!jamani huyu kaka!so saadHaahaaa....Riri angejifanya shughuli yake!
Wewe kweli?Halafu nimesoma sehemu Harry aliacha siti moja wazi kumuenzi mama yake!jamani huyu kaka!so saad
Hyo hapoWewe kweli?
Maskini kitoto cha mwisho kilikuwa kinadekezwa!
Harry ishu ya mamake bado inamtesa!
Umesoma quote ya Diana 1995?
Samahani kidogo, huyu Idrisa ndo nani? Maana naona anatrend kwenye huu uzi pia jina limekaa kama la kibongoMke wa Idriss utafikiri katoka kujifungua!
Mange yupo dunia nzima..kuanzia mbagala hadi UkMange anaishi UK?
Ok mkuu...Mange yupo dunia nzima..kuanzia mbagala hadi Uk
Jamaa ni black america kaigiza movies za sometimes in April ya massacre Rwanda, na Obsessed akiwa na Beyonce!Samahani kidogo, huyu Idrisa ndo nani? Maana naona anatrend kwenye huu uzi pia jina limekaa kama la kibongo
Asante sana, kweli huu ni ubuyu wa majuu, hiyo movie ya Sometimes in April, nishaichekiJamaa ni black america kaigiza movies za sometimes in April ya massacre Rwanda, na Obsessed akiwa na Beyonce!
Haaahaaa....hukujua kuwa starring ndo Idriss Elba?Asante sana, kweli huu ni ubuyu wa majuu, hiyo movie ya Sometimes in April, nishaicheki
we nani bana hata usipende? mtu hata bashite tu hakujui sembuse level za Mwanamfalme...Sio wazungu tu; hata mimi wa Mchambawima sijaipenda kabisa ndio maana nikauliza amekosa kabisa demu "bora" wa Kiingereza hadi akaokote masanii ya kimarekani tena machotara?
Haaahaaaaaawe nani bana hata usipende? mtu hata bashite tu hakujui sembuse level za Mwanamfalme...
Hapana sikujua halafu nilikuwa naangalia matukio tu hahahahaHaaahaaa....hukujua kuwa starring ndo Idriss Elba?
All the guests were people who are directly connected to the couple, no politicians or government officials.