Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,024
Hivi Idriss sio Mwingereza?!, au kazaliwa Uingereza na kukulia Marekani?!Jamaa ni black america kaigiza movies za sometimes in April ya massacre Rwanda, na Obsessed akiwa na Beyonce!
Hivi Idriss sio Mwingereza?!, au kazaliwa Uingereza na kukulia Marekani?!Jamaa ni black america kaigiza movies za sometimes in April ya massacre Rwanda, na Obsessed akiwa na Beyonce!
Megan and Harry are putting honeymoon plans aside. Next week they will join the Royal Family at Buckingham Palace to celebrate Charles’s 70th Birthday..was somehow good!
Awww!, I'm...
Megan and Harry are putting honeymoon plans aside. Next week they will join the Royal Family at Buckingham Palace to celebrate Charles’s 70th Birthday
AmeeenAs usual "the good always die young" vizuri huwa havidumu maishani ila wale watu mizigo na tatizo huwa hawafi haraka maana shetani huwa hajisumbui kuwawinda, anawaachaga waendelee kublock mitkasi ya wenzao then wanakuwa wanamsaidia kazi zake.
Satan is smart and strategic.
Hopefully, they are in better place now.
Hallelujah!
View attachment 782096 wataalam wa picha tupeni tafsiri ya malkia...
Huyu alibadili kuwa mkatoliki baada ya kumaliza kipindi chake cha uwaziri mkuu.Tony Blair alikuwa mkatoliki mkuu!
Nimesikia hivyo ni kwa aliyomtendea Diana na kuoa divorcee Camilla
Alianza mahusiano na mwarabu baada ya kuachikaKwani alimtendea nini Diana?
Diana si ndiye alianza mahusiano na yule Mwarabu waliyepata naye ajali?
Kamenichekesha jamaniShe thought she was a princess too and will go to Meghan's wedding..
Wee m'baguzi wacha kelele ..kama hujapenda basi kaolewe wewe!Ndio hapo napochoka. Akiwa kama mfalme watu wote ni wake; anashindwaje kujitwalia vilivyo vizuri akala kilicho chema badala ya kuokota rejects? King Mswati kumbe yuko njema sana yule jamaa.