IDFakenyingine
Senior Member
- Sep 28, 2022
- 154
- 380
Amefariki ghafla, hakuwa mgonjwa.Rest in Peace! Wewe ni ndugu yake? Uko marekani alikuwa amelazwa?
Ila we jamaa, umefukunyuaPoleni mnk
Alikuwa wakala wa mpesa na SAS kafia marekani
Kweli maisha ya mwanadamu ni hadithi tupu
Nimepitia comment za ndugu yetu marehemu lubawa alikua kichwa....MwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!
Rest easy bro, Hamidu Rubawa!
View attachment 2828672View attachment 2828673
Wachawi washamchukua...Ilala imezizima. Poleni sana wana ilala.
Alikuwa ndo kaanza kazi Marekani baada ya ku kuhustle dizonga kwa muda mrefu.
Mungu awatie nguvu wafiwa...
Duh hadi unaweza kusema katupiwa mdudu.
Nimepitia comment za ndugu yetu marehemu lubawa alikua kichwa....
Pumzika kaka lubawa