TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

IDFakenyingine

Senior Member
Sep 28, 2022
154
380
MwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!

Marehemu alikuwa akiishi Dar na Cape Town, Afrika Kusini kabla ya kwenda Marekani miezi michache iliyopita.

Rest easy bro, Hamidu Rubawa!

FB_IMG_1701262965394.jpg
FB_IMG_1701262955215.jpg
 
Back
Top Bottom