SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,853
- 8,248
Bwana ametoa na Bwana ametwaa
Poleni wafiwa, Sote.
R.I.P Brother.
Poleni wafiwa, Sote.
R.I.P Brother.
Mungu ndio anajuaWachawi washamchukua...
Dah Rubawa katukoka!?MwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!
Rest easy bro, Hamidu Rubawa!
View attachment 2828672View attachment 2828673

Kuna vifo vya Mungu na vifo vya wakuu wa giza...Mungu ndio anajua
Privacy policy has to be adhered! Kakuruhusu kuonyesha picha yake hapa?MwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!
Marehemu alikuwa akiishi Dar na Cape Town, Afrika Kusini kabla ya kwenda Marekani miezi michache iliyopita.
Rest easy bro, Hamidu Rubawa!
View attachment 2828672View attachment 2828673
Unamuonea wivu hadi marehem? Muombee dua tu mkuu .R.i.p.
Na mimi nkfa humu ndan nan atajua kfo changu
Atoe taarfa kwa members