Binafsi naona sahihi kabisa ulivyomuua huyo mshenzi. Naapa hata ningelikuwa mimi ningewaua wote kama ningekuwa na fursa (I mean this).
Kiukweli mtu ambae yupo tayari kudhuru mtu mwingine kwa sababu ya kupata mali kwangu mimi simuchukulii kama ni binadamu...namuona ni zaidi ya shetani na ndio maana uwa natamani sana kuwaua watu wa aina hii.