Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,947
- 74,429
Vyombo vyetu vya usalama kumbe wakati mwingine wale wanaovidharau na kuvikebehi wanastahili kusikilizwa.
Inakuwaje jambo Zito kama hilo wanaleta taharuki kumbe hakuwepo na hata linalo fanana nalo.
Mnatuletea picha za mtu kavaa kaunda suti zake unifomu ya uhudumu wa ofisi eti ni Comando wa US Army kakamatwa Kuja kuleta maafa.
Kisha kimyaaa, mnatuonaje nyie?
Hapo ndio mnapo fanya watu wawadharau maana ni utoto huo.
Unless taarifa zimetolewa za nini kinaendelea na wengine hawajazipata
Inakuwaje jambo Zito kama hilo wanaleta taharuki kumbe hakuwepo na hata linalo fanana nalo.
Mnatuletea picha za mtu kavaa kaunda suti zake unifomu ya uhudumu wa ofisi eti ni Comando wa US Army kakamatwa Kuja kuleta maafa.
Kisha kimyaaa, mnatuonaje nyie?
Hapo ndio mnapo fanya watu wawadharau maana ni utoto huo.
Unless taarifa zimetolewa za nini kinaendelea na wengine hawajazipata