Mwanajeshi amshushiakichapo daktar wa zamu

Mwanajeshi amshushiakichapo daktar wa zamu

moesy

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
3,555
Reaction score
3,539
Habari tulizopata toka mwitongo kkwa Mwlm nyerere , Mwanajeshi mmoja amemshushia kichapo daktari aliyekuwa zamu kuhudumia wagonjwa ktk hospital iliyopo apo butiama
Jina na kambi anayotoka uyo mwanajeshi haijaeleweka.
source:whattsapp group.
 
Hivi hii tabia ya kipuuzi ya wanajeshi kupiga raia itaisha lini? hii nchi ina matatizo mengi sana kuanzia uongozi mpaka kwa wananchi
 
Habari tulizopata toka mwitongo kkwa Mwlm nyerere , Mwanajeshi mmoja amemshushia kichapo daktari aliyekuwa zamu kuhudumia wagonjwa ktk hospital iliyopo apo mwitongo ...
Jina na kambi anayotoka uyo mwanajeshi haijaeleweka.
source:whattsapp group.
Habari haijathibitishwa popote. Hamna jina LA mgonjwa, jina LA daktari wala Polisi hawajapata taarifa.
Habari kama hii inaitwa DOA JF.
Moderator naomba muiondoe jukwaani Habari hii ya uzushi
 
Natamani siku mtu akiniigusa kuwa yeye ni mwanajeshi tugawane majengo ya serikali.
 
Mwitongo hakuna hospitali wewe acha uongo rudi huko Whatsapp kwako uangalie hiyo ripoti vizuri isitoshe naifahamu sehemu unayoizungumzia...
 
Mwitongo hakuna hospitali wewe acha uongo rudi huko Whatsapp kwako uangalie hiyo ripoti vizuri isitoshe naifahamu sehemu unayoizungumzia...
Nimempigia simu mtu wa uko ,,kaniambia ni kweli na inshu imefika polisi
 
Unakosea.... unafahamu maana ya neno MWITONGO.??
mwitongo ni mahame.,nimesema wengine tumezoea kupaita butiama ,mwitongo ,,sio ajabu ukisikia mtu akikwambia anasafiri kwenda mwitongo uku akimaanisha butiama
 
[HASHTAG]#freemaxcencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#UsirudieMakosa2020[/HASHTAG]
 
Sasa kiroba ndio kimekusukuma kuleta hii habari isioeyelewaka
 
Habari tulizopata toka mwitongo kkwa Mwlm nyerere , Mwanajeshi mmoja amemshushia kichapo daktari aliyekuwa zamu kuhudumia wagonjwa ktk hospital iliyopo apo butiama
Jina na kambi anayotoka uyo mwanajeshi haijaeleweka.
source:whattsapp group.
 
Back
Top Bottom