Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,174
Polisi nao wanaweza kupewa kichapo.Nimempigia simu mtu wa uko ,,kaniambia ni kweli na inshu imefika polisi
Polisi nao wanaweza kupewa kichapo.Nimempigia simu mtu wa uko ,,kaniambia ni kweli na inshu imefika polisi
Siyo kiroba ,,ni gongoSasa kiroba ndio kimekusukuma kuleta hii habari isioeyelewaka
Edit done: ni butiamaJinga wewe.Mwitongo ni mahame na kuna minyani na mitumbili tu.Usitake kumuongezea kesi Mr Melo wa JF nyok.o wewe!
Safi sana maana ni mbishi na mgumu wa kuelewa kweli kang'ang'ana eti Mwitongo,Mwitongo namueleza hataki kuelewa...Jinga wewe.Mwitongo ni mahame na kuna minyani na mitumbili tu.Usitake kumuongezea kesi Mr Melo wa JF nyok.o wewe!
Kweli mkuu iondolewe faster,hizi ndio aina ya post zinazowanza kina Melo....the source is not reliable na hata mtoa post ni kama hajiamini na alichokipost.
Mkuu jaribu kufanya uchunguzi kwanza kabla ya kuanza kutoa malalamiko,,,jaribu kuangalia source ya hii habari ni whtsup......'.Hivi hii tabia ya kipuuzi ya wanajeshi kupiga raia itaisha lini? hii nchi ina matatizo mengi sana kuanzia uongozi mpaka kwa wananchi
Hivi whatsapp ni source kweli ??
mbona mi whatsapp ninayo ila sijaipata hiyo habari