Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
WanaJF.
Namzungumzia Mwanaharakati Maarufu, Mwanasiasa na Nguli wa Sheria Nchini Tanzania Tundu Lissu. Amefanya ziara nyingi Ulaya na Marekani na kujizolea umaarufu mkubwa Duniani.
Anafahamika Sana kwa misimamo yake inayokubalika Sana na Wafuasi Wake.
Hata hivyo sijawahi sikia akifanya ziara yeyote hapa Afrika achilia mbali Afrika Mashariki.
Najiuliza ikitokea amefanya ziara Afrika ya Mashariki je unadhani ni Jiji gani atapata mapokezi Makubwa na ya kipekee? (Kampala, Kigali, Bujumbura, Nairobi, Mombasa, Juba, Kinshasa, Lusaka, Maputo n.k)
Na je unadhani ziara hizo zitaleta matokeo gani Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii?
Karibuni Sana kwa Maoni.
Tunamuombea Mungu Ampe wepesi wa Afya Yake
.
Namzungumzia Mwanaharakati Maarufu, Mwanasiasa na Nguli wa Sheria Nchini Tanzania Tundu Lissu. Amefanya ziara nyingi Ulaya na Marekani na kujizolea umaarufu mkubwa Duniani.
Anafahamika Sana kwa misimamo yake inayokubalika Sana na Wafuasi Wake.
Hata hivyo sijawahi sikia akifanya ziara yeyote hapa Afrika achilia mbali Afrika Mashariki.
Najiuliza ikitokea amefanya ziara Afrika ya Mashariki je unadhani ni Jiji gani atapata mapokezi Makubwa na ya kipekee? (Kampala, Kigali, Bujumbura, Nairobi, Mombasa, Juba, Kinshasa, Lusaka, Maputo n.k)
Na je unadhani ziara hizo zitaleta matokeo gani Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii?
Karibuni Sana kwa Maoni.
Tunamuombea Mungu Ampe wepesi wa Afya Yake
.