Taifa letu kwasasa linakumbwa na misukosuko ya kila namna ikiwemo migomo ya waalimu,madaktari,mauaji ya albino,mateso na utekaji watetezi wa haki za watu(Ulimboka na Kubenea),uchomaji moto makanisa znz,na kufungiwa magazeti(Mwanahalisi)!! Mambo yote haya ni hatari sana kwa mustakabali wa nchi yetu na maisha ya watu wake. Dalili zote zinaonyesha kushindwa kwa mfumo na ukomo wa kufikiri kwa viongozi wetu waliopo serikalini na ktk chama tawala CCM! Wasipokiri kushindwa basi wakti utawatoa hakika! I can't wait to see it happen 2015!!!!