Namshauri ni bora afanye hivyo kuliko kusubiri m;samaha wa serikali ambao hatujui utakuja lini. Towards 1995 marehemu Ben Mtobwa alifanya hivyo wakati gazeti lake la Heko lilipofungiwa kwa muda. Alitumia gazeti lake jingine la Kalulu kuchapa habari ambazo zingechapwa na Heko.