Asante kwa kutujulisha kumbe kila j5 tutakuwa tunakula habari za uchunguzi kama kawa.
Mimi nawashauri hali halisi puplishers wasajili magazeti kama 10 hiviliwepo ggazeti kaka,mjomba,binamu,nkazamjomba,kilembwe,mjukuu,shangazi,shemeji nk ili likifungiwa moja tuendelee kupata habari.