MwanaHALISI laibukia MSETO...


Ha ha haaaa...umenifurahisha mkuu...ati gazeti shemeji..ha ha ha
 
Naona sasa wanataka waandishi wakachore ukuta wa ikulu. Nafikiri wamechoka kutawala.
 
nasikia kuna gazeti litakalo kuwa mbadala wa Mwanahalisi kama juhudi za kulifungua Mwanahalisi zitashindikana gazeti litaitwa ''MESENJA''
 
Mseto lipo,kubenea ataendelea kutupia vitu mle ndani.
 
Ngoja nikapate ushahidi wangu wa copy1 then narudi tena!
 
serikali badala ya kufanya uchunguzi inafungia gazeti,kwani kilichohusishwa na utekaji wa Dr Ulimboka ni serikali au ni Rama ambaye ni mfanyakazi wa serikali? mbona wanakurupuka hawa!!!!
 

Nashukuru kwa taarifa mhimu ili tuwajuze wengine ambao hawakuwa wanajua kuwa Mseto ni upande mwingine wa mwanahalisi.
 
Mseto ni gazeti la Halisi publishers linaloandika michezo, kwa hiyo ni la Kubenea nalo hutoka kila jumatano,ila wiki hii limeuza kwa angle ya kutoa sababu za Mwanahalis kufungiwa.kifupi hilo gazeti ndugu na lile la Mwanahalisi.
 
pouring syrup on a sh*t won't make it a pancake..serikali hii imechemsha siku nyingi hata wakijaribu kucover vipi migomo na malalamiko yatachomoza kila sehemu
 
serikali ze comedy.. mlalamikaji ndio huyo huyo na anaetoa hukumu ndio huyo huyo walishindwa nini kwenda mahakamani kama kweli walikuwa na hoja.
 
Chama Cha Mwabepande kinataka wananchi tuendelee kuwa 'zombies' ili wao waendelee kuibaka nchi yetu mbele na nyuma. Ndio maana kada wao Chigongo anapongezwa na kutolewa mfano na 'mfalme' kwa ujasiri wa uandishi wa magazeti yake ya ngono na kungonoka
Tukiwa tunatafakari na kutumia muda mwingi kungonoka, kungonoa na kungonolewa wao wanaibaka nchi!
Kulifungia Mwanahalisi ni dalili za mhalifu asiyejiamini pamoja na kuwa na dola
 
The correct words should have been "the way the cookie crumbles" as quoted from one of James Hadley Chase novels.
 
safi san kubenea naomba uanzishe na kitabu au kuandika makala kupitia magazeti ya kingereza huko nje ya nchi
 
Seif bin islam alikuwa haamini kama serikali yao inadondoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…