Vyovyote sisi tnawaamini tuliowapa madaraka na wao wameona watu kama bwana Komu ambaye ni mkurugenzi wa fedha wa CDM na Saed mganga njaa ni hatari kwa usalama wa nchi hasa juhudi zao za kueneza majungu na uzushi kupitia gazeti lao la MwanaHalisi. Kwa kipindi hiki wakae chini wajipange upya kusubiri uchaguzi wa 2090 wanaweza kupata serikali inayoweza kuvumilia upuuuzi wao.
Mkuu njaa haishi kwa hasira kama ulizo nazo tulia.Ok pengine umetumwa, Ujumbe umefika kachukue posho yako kwa Magamba.