MwanaHALISI: Big lie or slip of the tongue? - Saed Kubenea

Status
Not open for further replies.
Yametokea pia kwa Mwananchi na Mtanzania, and perhaps, more to follow.

Halafu naona hata media yenyewe ina mgawanyiko fulani hivi, kuna magazeti yana beef za kisiasa na kibiashara ambayo yanafurahia kuona magazeti mengine yakifungiwa, bila kujua kwamba tukishazoea serikali kufungia fungia magazeti tu hata wao wanaweza kufungiwa bila mjadala.

I have no qualms with the government asserting it's duty, na kama kuna valid grounds kwamba magazeti yamevunja sheria na ethics za uandishi then tatizo ni la magazeti, yafungiwe, na magazeti mengine yajifunze ili yasije kuipa serikali sababu.

Lakini, kama serikali na vyombo vyake vya usimamizi vinakuwa heavyhanded, penalization of any media outlet in Tanzania constitutes a thread to the freedom of all media outlets in Tanzania.

Including Jamiiforums.
 
Mwalimu alituambia alilazimika kwenda nje ya nchi kuchapisha kitabu chake UONGOZI NA HATIMA YA TANZANIA. Sasa kwa nini bwana kubenea umekubali kubanwa na hawa mafisadi? Hii ni vita - unapambana na adui --------, badili mbinu. Kwa upumbavu wao bado hawajaweza kufungia teknologia.
 
At first i thought Kubenea and his team mates would decide to initiate another newspaper,pitiful that has not been feasible,what if they does that? Coz what banned was Mwanahalisi and not journalists,may be i know nothing about the conditons were given,what if again that ban will never be unbanned? They won`t publish another newspaper again,if yes then their career is over,watch out and try another means if the available one bear no fruits.
 
Jamani Rais wetu aliambiwa, aliambiwa, aliambiwaaaaaaa au hamtaki kumwelewa kuwa anaambiwa ndo anakuja public kuisema? Hacheni kumsumbua Rais
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom