GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Kichwa chake cha Habari cha hiyo Habari yake kinasema...." TFF yaja ya Sheria mpya wale watakaovaa vibaya, hovyp hovyo na kuonekana Wachafu hawatoruhusiwa Kuingia Uwanjani au Kukaa katika Benchi la Wachezaji ".
Je Saleh Ally ( Salehe Jembe ) kuiweka Picha hiyo ya Kocha wa Yanga SC Mwinyi Zahera ametuma Ujumbe gani wa Kificho kwa Sisi Wasomaji wake? Na kwanini katika Picha zote za Makocha mbalimbali wa Ligi Kuu nchini Yeye ameona tu Kocha Mkuu wa Yanga SC ndiyo anastahili kuwekwa katika hiyo taarifa yake?
Hivi huyu Mwandishi wa Habari na Mchambuzi wa Soka anawajua vizuri Yanga SC au anawasikia tu pale Wakikwazwa?
Je Saleh Ally ( Salehe Jembe ) kuiweka Picha hiyo ya Kocha wa Yanga SC Mwinyi Zahera ametuma Ujumbe gani wa Kificho kwa Sisi Wasomaji wake? Na kwanini katika Picha zote za Makocha mbalimbali wa Ligi Kuu nchini Yeye ameona tu Kocha Mkuu wa Yanga SC ndiyo anastahili kuwekwa katika hiyo taarifa yake?
Hivi huyu Mwandishi wa Habari na Mchambuzi wa Soka anawajua vizuri Yanga SC au anawasikia tu pale Wakikwazwa?