DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,907
- 2,092
nafikir tayar mkuu soma tena kama kuna makosa
Poa mkuu, edit na heading.
nafikir tayar mkuu soma tena kama kuna makosa
konsonati na irabu
Muuliza Swali hajui Anachouliza kwani konsonant na irabu kwa ujumla huitwa FONIMU IN phonemes
ok, ahsante .
history njoo kwangu
katika kiswahili kuna alfaberti mbili ni zipi hizo wakuu? msada!
naomba kupewa miundo ya barua mbalimbali
Kwa maswali ya Kiswahili nipo hapa, kuanzia kidato cha kwanza hadi kozi zote za Kiswahili kwa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu.
"KISWAHILI KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU"
mkuu unamaanisha aina za barua au muundo wa barua.kiuhalisia kuna aina nying sana za barua,kuna friendly letter/personal letter,official letter,letter to the editor na nyinginezo nying.lakin hizi barua zina miundo/muonekano wake katika uandishi,hii miundo ipo ya aina mbili kuna old formart na modern/block format.
Kwa maswali ya Kiswahili nipo hapa, kuanzia kidato cha kwanza hadi kozi zote za Kiswahili kwa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu.
"KISWAHILI KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU"
Awali ya yote Alfabeti ni nomino, maana yake ni herufi za lugha zilizopangwa kwa utaratibu maalum km vile, a,b,ch,d.e n.k ambazo hutumiwa katika maandishi. Kwa mtiririko huo alfabeti ni Konsonanti na Irabu bila kusahau Viyeyusho (w) na (y)
history njoo kwangu
Kwa swal la chemistry wanione mimi.
history njoo kwangu
SWALI HESABU;;;
Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?