Hv yule mwalimu mfano wa muvi ya sarFina siku hizi hawapo...nilikuwa namkubLi kweli alivyokuwa anawapa madini..kitu Mbacho mwalim mpole umeshindwa elewa ni kuwa mna nguvu kubwa sana ya kuleta mabadiliko sio tu kwa kufanya migomo bali kuwapa mUjuzi wanafunzi kuhusu elimu ya demokrasia na utawala bora ili kutengeneza viongozi wazalendo..Liwalo na liwe