Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Matukio ya namna hii ya naumiza sana, binti mdogo akitafuta maisha yake ila ghafla yamekatishwa na watu wenye roho mbaya.
Ila kuna jambo najiuliza je ni ishu za biashara za baba yake? au mahusiano? Siasa, au ni wale wahalifu wakujipatia kipato kwa njia za nama hii?
=================
Mwanafunzi wa Shahada ya Sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Mbeya, Bi. Shyrose Mahande (21), ambaye alitekwa siku ya Jumamosi na watu wasiojulikana na wakaanza kuomba kiasi cha pesa kwa baba yake mzazi Dkt. Mabula Mahande, ili wamuachie huru huku wakimtumia video fupi wakimuonyesha wanavyomtesa, ameuawa kikatili kwa kuchomwa moto kwenye vibanda vya biashara Nane Nane.
Ila kuna jambo najiuliza je ni ishu za biashara za baba yake? au mahusiano? Siasa, au ni wale wahalifu wakujipatia kipato kwa njia za nama hii?
=================
Mwanafunzi wa Shahada ya Sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Mbeya, Bi. Shyrose Mahande (21), ambaye alitekwa siku ya Jumamosi na watu wasiojulikana na wakaanza kuomba kiasi cha pesa kwa baba yake mzazi Dkt. Mabula Mahande, ili wamuachie huru huku wakimtumia video fupi wakimuonyesha wanavyomtesa, ameuawa kikatili kwa kuchomwa moto kwenye vibanda vya biashara Nane Nane.