Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, amina.
Mvua za vuli za mwaka huu zinanyeesha kwa kiwango kikubwa ambacho hakikutegemea. maafa tayari yameripotiwa mikoa mbalimbali kama kilimanjaro, mbeya na mwanza. mungu aepushe maafa yetu yatakayosabishwa na mvua hizi kubwa zinazoendelea kunyeesha