Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 84
wakati nasoma hapa tulishavamiwa na vibaka kama 100 hv maeneo ya kwa tondi wakachukua laptop na pesa.....ila tulifanya msako na kumchoma kibaka mmoja maeneo kambini toka hapo hali ilitulia ila hao vibaka ni noma nadhan wanashirikiana na polisi.....
ocd.......lazima