Nowonmai
JF-Expert Member
- Jan 15, 2019
- 1,019
- 1,094
Hapana mkuu. Asilimia kubwa ya kile tunachoita akili hurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine hivyo watu watofautiana kwenye uwezo kufikiri toka utotoni.
Lakini uko sahihi kwamba watu wengi wana kiwango cha kawaida cha akili(average intelligence) na tofauti ipo kwenye kuindeleza akili au kuongezea uwezo wa mtu wa kufikiri kwa kujifunza. Zingatia pia kuwa wale wanazaliwa na kiwango cha juu cha akili wana uwezekano mkubwa zaidi wa kuendeleza akili zao.
Lakini uko sahihi kwamba watu wengi wana kiwango cha kawaida cha akili(average intelligence) na tofauti ipo kwenye kuindeleza akili au kuongezea uwezo wa mtu wa kufikiri kwa kujifunza. Zingatia pia kuwa wale wanazaliwa na kiwango cha juu cha akili wana uwezekano mkubwa zaidi wa kuendeleza akili zao.
Mimi nafikiri tukubaliane kwamba binadamu wote tuna akili za kawaida. Labda tofauti inakuja pale ambapo mtu umeamua kuinoa akili yako kwenye eneo fulani kwahiyo unakua unajua zaidi kuhusu eneo hilo, ila sio kwamba una akili isiyo ya kawaida.