kisugujira
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 774
- 200
WanaJF ,
Mwanadamu ni kiumbe cha ajabu sana..!! Hivi karibuni mkoani Singida kuna watu katili wamekuwa wakiwakata Punda miguu na kuchukua kwato ambazo haijulikani wanazipeleka wapi! Matumizi ya kwato hizo huko zinakopelekwa mpaka sasa haijulikani!
Source:Facebook
Mwanadamu ni kiumbe cha ajabu sana..!! Hivi karibuni mkoani Singida kuna watu katili wamekuwa wakiwakata Punda miguu na kuchukua kwato ambazo haijulikani wanazipeleka wapi! Matumizi ya kwato hizo huko zinakopelekwa mpaka sasa haijulikani!
Source:Facebook