Mwanadada Zay B yupo wapi?

Mwanadada Zay B yupo wapi?

Dah aisee yule mtoto alikuwa hot balaa!!! Mkuundugu yangu nipe mawasiliano yake tafadhali
Nb;hata wewe inaonekana muhenga dizaini flani iv
yaani Huo Wimbo Wa Ngwair Maisha Yangu Yote Ndo Ring Tone Yangu Naupenda Sana,mawasiliano Nitayatoa Wapi?Kweli Kauhenga Ninacho
 
Zay B Wapi Kitu Yule Dada "acha Longolongo We Sema Una Sh Ngapi?"hapo Mixer Ngwear Sijui Na Mo X Alikuwepo
Jina Nimelisahau Aisee Nakumbuka Nlisomaga Alikuwa Marekani Katelekezwa Ana Mtoto
Aisee Yule Mwanamama Namkubali Jamani
Saivi ni mke wangu. Alitelekezwa US pale Ocklahoma, ilibidi mimi na familia yao tuchange nauli aje Dar tuyajenge. Karibu Goba
 
yaani Huo Wimbo Wa Ngwair Maisha Yangu Yote Ndo Ring Tone Yangu Naupenda Sana,mawasiliano Nitayatoa Wapi?Kweli Kauhenga Ninacho
Wahenga ni kisima cha maarifa,hebu ngoja nije pm ili nipate maarifa.
 
Wakuu habari.

Miaka ya 2000 kulikua na mwanadada machachali sana katika Bongo Fleva anaitwa Zay to tha B mwanadada GaiDI.

Mwanadada alikua anajitahidi sana kwa nyakati zake kwenye game na walikua mahasimu sana ma mwenzake Sista P.

Alitoa nyimbo maarufu Nipo Gado akishirikisha Kibra, na alikua na Album Mama Africa ambayo kwa nyakati zake pia ilihit sana.


Kipindi yeye yupo hot kwa upande wa kina dada ni Sista P tu ndio alikua wanasumbuana. So tunaweza sema ni moja ya waasisi wa ili game Tanzania.

Siku zimepita kimya, sijamsikia kwenye vyombo vya habari, social media wala story za vijiwe.

Last time alitoa wimbo wa Penzi la Teja ila naona haukupokelewa kiviile.so akala bati.

Hivi yupo wapi? Anajishughulisha na nini? View attachment 760497View attachment 760499
Yupo Buguruni anauza mbao
 
yaani Huo Wimbo Wa Ngwair Maisha Yangu Yote Ndo Ring Tone Yangu Naupenda Sana,mawasiliano Nitayatoa Wapi?Kweli Kauhenga Ninacho
Vijana wa juzi bhana..mkuu achana na nyimbo za kibitozi hizo, tafuta kitu inaitwa 'Naja' ndio utajua hip hop ilikuwaje enzi zetu.
 
Yupo Temeke, mzima wa afya ,si kweli Teja yupo fresh ukitaka kumuona ni PM nikupeleke alipo.
Kuna mdau kasema yupo Buguruni anauza mbao...si kweli mbao ni maduka ya familia tu.
 
Back
Top Bottom