Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Nilikuwa namkubali sana enzi zile na ile aina yake ya ku rap
kaolewa na mzungu na sahivi anajiita P matata,Sister p bado mgumu au kakubali kuitwa mama..?
Duuuh imekuwa muda aisee nadhani ashakuwa mama kabisa huyu......daah those days bana!!
alimchana chemical kinoma sana, dula wa est africa redio alimgusia kuhusu huyo dada ilikuwa ni balaaSasa waje pambana na Chemical
walikuwa hawaongei hao kisa mashabiki ndo kilikuwa chanzo cha uadui waoNi adui au Mshindani wake ktk sanaa??
wee Roho Imeniuma Jamani Dada Mzuri Kama Yule JamaniSasa huyo ndio teja kabisa. Kuna clips ziisambaa sana yupo ughaibuni anaomba msaada kwa Watanzania
yaani Huo Wimbo Wa Ngwair Maisha Yangu Yote Ndo Ring Tone Yangu Naupenda Sana,mawasiliano Nitayatoa Wapi?Kweli Kauhenga NinachoDah aisee yule mtoto alikuwa hot balaa!!! Mkuundugu yangu nipe mawasiliano yake tafadhali
Nb;hata wewe inaonekana muhenga dizaini flani iv
Mkuu enzi zile SIMTANKS zilikuwa bado hazijavumbuliwaHilo ndio Tatizo angesema Mashairi Yamejaa PIPA au SIMTANK mpaka sasa angekuwepo kwenye fani maana yangekuwa yamebaki hata nusu lakini kwenye KISADO akitoa nyimbo tatu yanaisha.
Saivi ni mke wangu. Alitelekezwa US pale Ocklahoma, ilibidi mimi na familia yao tuchange nauli aje Dar tuyajenge. Karibu GobaZay B Wapi Kitu Yule Dada "acha Longolongo We Sema Una Sh Ngapi?"hapo Mixer Ngwear Sijui Na Mo X Alikuwepo
Jina Nimelisahau Aisee Nakumbuka Nlisomaga Alikuwa Marekani Katelekezwa Ana Mtoto
Aisee Yule Mwanamama Namkubali Jamani
Wahenga ni kisima cha maarifa,hebu ngoja nije pm ili nipate maarifa.yaani Huo Wimbo Wa Ngwair Maisha Yangu Yote Ndo Ring Tone Yangu Naupenda Sana,mawasiliano Nitayatoa Wapi?Kweli Kauhenga Ninacho
kitu Rosa Ree wewe..."nipe bonge la ndinga usinletee mi kibamia!...dada hooood!"Sasa waje pambana na Chemical
Mama yake alipewa hilo bonge la ndinga na baba yake!?..au anatusumbua sie tukitu Rosa Ree wewe..."nipe bonge la ndinga usinletee mi kibamia!...dada hooood!"
Yupo Buguruni anauza mbaoWakuu habari.
Miaka ya 2000 kulikua na mwanadada machachali sana katika Bongo Fleva anaitwa Zay to tha B mwanadada GaiDI.
Mwanadada alikua anajitahidi sana kwa nyakati zake kwenye game na walikua mahasimu sana ma mwenzake Sista P.
Alitoa nyimbo maarufu Nipo Gado akishirikisha Kibra, na alikua na Album Mama Africa ambayo kwa nyakati zake pia ilihit sana.
Kipindi yeye yupo hot kwa upande wa kina dada ni Sista P tu ndio alikua wanasumbuana. So tunaweza sema ni moja ya waasisi wa ili game Tanzania.
Siku zimepita kimya, sijamsikia kwenye vyombo vya habari, social media wala story za vijiwe.
Last time alitoa wimbo wa Penzi la Teja ila naona haukupokelewa kiviile.so akala bati.
Hivi yupo wapi? Anajishughulisha na nini? View attachment 760497View attachment 760499
Vijana wa juzi bhana..mkuu achana na nyimbo za kibitozi hizo, tafuta kitu inaitwa 'Naja' ndio utajua hip hop ilikuwaje enzi zetu.yaani Huo Wimbo Wa Ngwair Maisha Yangu Yote Ndo Ring Tone Yangu Naupenda Sana,mawasiliano Nitayatoa Wapi?Kweli Kauhenga Ninacho