Mwanadada kuiweka ndoa matatani bila kujua

Mwanadada kuiweka ndoa matatani bila kujua

Victor 20

Senior Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
146
Reaction score
15
kuna dada mmoja nilkutanae ktk mtandao 1 hivi wa kijamii baada ya kuchati nae kidogo akanipa namba ya simu ili tuchati vizuri pindi tupo ktk mchatiko aliniambia kuwa yy ni mke wa mtu (kidume nikajisemea moyoni hii sumu ss) basi nikajisemea hapa sina changu kashawahiwa niachane nae nisije muharibia mwanaume mwenzangu kwa kuchepuka nae basi nikaona hata urafiki naye bas lakini na umri wake ni between 24- 22 kama mie tulichati mpaka saa 5 usiku bas nikamsihi akamliwaze mumewe baada ya mahangaiko ya mchana kutwa kutafuta ridhiki akanilazimisha tuendelee kuchati kwani mumewe ameshalala bas kufika saa 7 usiku nikamuaga kuwa mie nalala kufika saa 8 usku kasoro nikiwa usingizi gafla simu iliita kucheki ni yule dada nilishtuka sana muda ule mke wa mtu upo kitandani na mume wako unanipigia simu kijana wa mtandaoni kupokea eti ooh! sina usingizi best wangu.nikamwambia muda huu mume wako akikuona unaongea na simu unafkiri atajiskiaje eti ooh! kalala fofofoooo.. mie nikakata nikamtumia sms fumba macho utakuja wenyewe
 
wanawake mlio ktk ndoa na wanaume fikiri kabla ya kutenda usifanye jambo ambalo utahisi mwenzi wako atakuhisi vibaya na kutia doa ktk ndoa zenu na huyu dada me namchukulia kama dada yangu wa kufikia wala sina mpango nae mwengine wowote na tunachati mpaka ss. na fundisho hili naye pia nimempa wanajamii tubadilike. SANTENI SANA
 
Kazi ipo...

Huyo alilazimishwa kuolewa?

Mlishaambiwa kwanza mstareheke kabla hamjaingia kwenye ndoa, mkishaingia huko mtulie...

We ngoja uje ukatwe dushelele ndo utajua mke wa mtu ni tindikali.
 
kuna dada mmoja nilkutanae ktk mtandao 1 hivi wa kijamii baada ya kuchati nae kidogo akanipa namba ya simu ili tuchati vizuri pindi tupo ktk mchatiko aliniambia kuwa yy ni mke wa mtu (kidume nikajisemea moyoni hii sumu ss) basi nikajisemea hapa sina changu kashawahiwa niachane nae nisije muharibia mwanaume mwenzangu kwa kuchepuka nae basi nikaona hata urafiki naye bas lakini na umri wake ni between 24- 22 kama mie tulichati mpaka saa 5 usiku bas nikamsihi akamliwaze mumewe baada ya mahangaiko ya mchana kutwa kutafuta ridhiki akanilazimisha tuendelee kuchati kwani mumewe ameshalala bas kufika saa 7 usiku nikamuaga kuwa mie nalala kufika saa 8 usku kasoro nikiwa usingizi gafla simu iliita kucheki ni yule dada nilishtuka sana muda ule mke wa mtu upo kitandani na mume wako unanipigia simu kijana wa mtandaoni kupokea eti ooh! sina usingizi best wangu.nikamwambia muda huu mume wako akikuona unaongea na simu unafkiri atajiskiaje eti ooh! kalala fofofoooo.. mie nikakata nikamtumia sms fumba macho utakuja wenyewe

Acha porojo kijana
 
kaniambia hadi mtoto anae wa mwaka mmoja na miezi 2 tena wa kike japo sina uthibitisho wowote ila ndo hali halisi
 
Wengine ukiwaambia achana na mmeo njoo nikuoe mimi yaani wanaitika tu
 
Ha ha! kwa fisi mizoga yoooote hadi usiyoijua ww inalika njoo ukutane naye upate experience kiduchu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom