Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,577
Stress watu wengi wanaishi na stressDunia ina siri
Stress watu wengi wanaishi na stressDunia ina siri
Kuna ile nyimboHaya maneno ya kikatoliki huwa yananishtua mno.
kwenye uzi wako ulimaanisha huyu
Kumbe unajua eh!Asta-GHA-firrulah.
Tafadhali usinikumbushe hizo ngomaKuna ile nyimbo
UWape bwana, Raha ya milele mwanga wa milele uwaangazie,
UWape bwana Raha ya milele mwanga wa milele uwaangazie,
Aaah navurugwa kabisa nikiwaza ntaimbiwa hivi duuh,
AU ile ninakulilia katika unyonge wangu ewe Kinga yangu,
Eeh bwana toka vilindini nimekulilia bwana usikie sauti yangu masikio yako yasikie dua zangu,
Bwana kama ungehesabu maovu ni nani angesimama mbele yako ?
Daah mm natamani tungekuwa tunachomwa hata moto, tuu 🥺
secretarybird
MKatumeni DIVISHENI FOO
kuna hii wanaimba,Ila tatizo binadamu tunasahau haraka.
Yale maneno yanachoma sana moyo lakini tunayasahau tukitoka pale.
Mkuu acha kuongza vionjo! 😂kuna hii wanaimba,
Bwana ee bwana kwanini wasimama mbali,
Kwanini kujificha, na kujificha nyakati hizi za shida,
Kwanini kujificha bwana, nyakati za shida, *2
Kwanini kujificha na kujificha nyakati hizi za shida
Kwann kujificha bwana nyakati za shida,
Maana mdhalimu, mdhalimu hujisifia, hujisifia tamaa ya nafsi yake,
Bwana ee bwana kwanini wasimama mbali, kwanin kujificha na kujificha nyakati hizi za shida, kwann kujificha bwana nyakati za shida
Ttzo wewe sio muumini mzurii hii ni zaburi ujueMkuu acha kuongza vionjo! 😂
Madhara ya kusoma EMs, Angesoma kayumba yasingemkuta hayo si ndio LIKUD
Malezi ya, ki Afrika, wazazi, wengi huwa hawajuhi kinachoendelea kwenye maisha ya, watoto wao, hata wakiwa wadogo, miaka 4-15,kwa vile anawaona wanacheza, wanaenda shule, wanarudi, anajua kila kitu kipo poa, unakuja kukuta, mtoto wako huko shuleni,anapigwa na wenzie, ana pewa vabal abuse na waalimu, wewe huna habari,Dogo anapambna mwenyewe, sasa akifika chuo,anakutana na, changamoto zingine,
Zaburi yote iko kichwani mwangu mkuu.Ttzo wewe sio muumini mzurii hii ni zaburi ujue
Hiyo ni ile unatibiwa ili upone ukanyongwe.Nikiwa darasa la 6 siku moja jioni narudi home toka shule nikakutana na majamaa wawili wanamshushia kipigo cha mbwa mwizi mwenzao. Kuuliza sababu ni kuwa wanamwadabisha ndugu yao baada ya kumkuta anataka kujinyonga. Nikajiuliza mbona sasa hiki kipigo tu ni kama wanataka kumuua pia baada ya kipigo jamaa si ndo atakuwa kama kachochewa zaidi kujiua?