Kuna yule mwingine alichomwa kisuLeejay49 kwenye uzi wako ulimaanisha huyu
![]()
Mwenye kuweza kuwaambia na awaambie
NrNe Wakuu tukiwa tunamalizia hii weekend naomba mnifikishie salamu Kwa watoto au wanafunzi wa vyuo,. Maana naona Sasa kama mambo yanakuwa mabaya Kila unakopita ni vifo tu., 1.Ni hivi. Kama wanajiua kisa maisha magumu baasi waambieni huku mtaani maisha ni magumu na Kila mtu anapambana kivyake...www.jamiiforums.com
Nikiwa darasa la 6 siku moja jioni narudi home toka shule nikakutana na majamaa wawili wanamshushia kipigo cha mbwa mwizi mwenzao. Kuuliza sababu ni kuwa wanamwadabisha ndugu yao baada ya kumkuta anataka kujinyonga. Nikajiuliza mbona sasa hiki kipigo tu ni kama wanataka kumuua pia baada ya kipigo jamaa si ndo atakuwa kama kachochewa zaidi kujiua?Madhara ya kusoma EMs, Angesoma kayumba yasingemkuta hayo si ndio LIKUD
Haya maneno ya kikatoliki huwa yananishtua mno.Raha ya melele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie,
Amen 🙏.
Hahahah 😂😂Kijana alipenda papuchi zaidi kuliko uhai.
Angekuja kwangu nimbless kizibo cha kisasa.
Cc: Monetary doctor secretarybird
Wadogo zetu wanapitia changamoto nyingi
MaaninaPapuchi, mbususu, kiarage, topetope, mtaro Kwa ASILIMIA 95 ndo sababu, asilimia 5 kudisco
Kwa nini mkuu 😀Haya maneno ya kikatoliki huwa yananishtua mno.
kafirullahKijana alipenda papuchi zaidi kuliko uhai.
Angekuja kwangu nimbless kizibo cha kisasa.
Cc: Monetary doctor secretarybird
Asta...kafirullah
Kwa pamoja tuseme astakafirullahAsta...
Yanaleta hisia kali. Hata nyimbo za kwenye msiba wa kikatoliki huwa ni hatari.Kwa nini mkuu 😀
Aimen!Kwa pamoja tuseme astakafirullah
Ila tatizo binadamu tunasahau haraka.Yanaleta hisia kali. Hata nyimbo za kwenye msiba wa kikatoliki huwa ni hatari.
Asta-GHA-firrulah.Asta...