Mwanachuo mzumbe anywa sumu na kufa

Mwanachuo mzumbe anywa sumu na kufa

Kidzukulu

Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
12
Reaction score
0
Mwanachuo wa masters aliyekuwa anasoma mzumbe morogoro amefariki dunia baada ya kunywa sumu kufuatia matokeo mabaya ya UE yaani alidisco. Marehemu pia alikuwa ni afisa mipango dodoma. Alizikwa kwao mkoani njombe tar 8.
 
Mwanachuo wa masters aliyekuwa anasoma mzumbe morogoro amefariki dunia baada ya kunywa sumu kufuatia matokeo mabaya ya UE yaani alidisco. Marehemu pia alikuwa ni afisa mipango dodoma. Alizikwa kwao mkoani njombe tar 8.

Ishachuja hii,
JF ni zaidi ya ufikiriavyo!!
 
Back
Top Bottom