Mwanachuo anywa sumu

Mwanachuo anywa sumu

Kuna watu huwa hawaoni thamani ya maisha, hivi kufeli masomo ya Masters ndio kufeli maisha?

Huenda hiyo Masters ndiyo ilikuwa maisha kwa mtazamo wake.... Kwa kweli Jamii yetu inahitaji sana elimu ya kujitambua.

Pia Taasisi zetu ziweke ma-counselor wa kusaidia watu wenye matatizo kama haya.
 
Huenda hiyo Masters ndiyo ilikuwa maisha kwa mtazamo wake.... Kwa kweli Jamii yetu inahitaji sana elimu ya kujitambua.

Pia Taasisi zetu ziweke ma-counselor wa kusaidia watu wenye matatizo kama haya.

Kumbukeni huyu mtu ana ndugu na jamaa wa karibu ambao wanaomboleza kifo chake kwa uchungu hata kama machoni mwa wengi kinaonekana ni cha kijinga. Hivyo si busara kumhukumu humu. Vile vile hatujui exactly what happened.
Admin naomba utoe thread hii, inaumiza zaidi wapendwa wake kuliko kuelimisha jamii..
 
Kumbukeni huyu mtu ana ndugu na jamaa wa karibu ambao wanaomboleza kifo chake kwa uchungu hata kama machoni mwa wengi kinaonekana ni cha kijinga. Hivyo si busara kumhukumu humu. Vile vile hatujui exactly what happened.
Admin naomba utoe thread hii, inaumiza zaidi wapendwa wake kuliko kuelimisha jamii..
Papushka,
wapi nimesema kuwa uamuzi wa Marehemu ni wa kijinga?
Kimsingi nimejaribu kueleza nini kifanyike ili tuweze kupunguza ama kumaliza hili tatizo la watu kujitoa uhai.
 
Last edited by a moderator:
Kuna taaluma sio za kudharau, mfano angekuwa anafanya masters ya social work, sociology, psychology asingeweza kucomitt suicide maana inazungumziwa uzuri kabisaa kwenye mada husika.
 
Back
Top Bottom