Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,220
Mwanachuo anaesomea UZAMILI ktk chuo kikuu cha Dare sa laam kwenye kitivo cha utawala amepoteza maisha baada ya kunywa sumu kutokana na kufanya vibaya kwa matokeo yake ya semister ya kwanza.