hata yule mtu alietemgeneza dawa ikamnasisha mtu huko temeke inasemekana ana masters kutoka tumaini.
Khe hivi theofilo ni cha dini? Kama ni hivi basi tutakuwa na kina babu lukuki siku za usoni.
Tanzania kiboko pale kariako shimoni pana jamaa ana mtaji wa elfu 30 katika biashara ya ndimu analinda biashara yake kwa mtambo maalumu yaani hirizi tena ina pumua kama kiumbe hai.
Chezea tanzania weye!
.
hata yule mtu alietemgeneza dawa ikamnasisha mtu huko temeke inasemekana ana masters kutoka tumaini
wewe mwenyewe na kushauri uwe makini! Mambo haya bwana si mchezohakuna aliyenasa temeke , acha uongo .
hata yule mtu alietemgeneza dawa ikamnasisha mtu huko temeke inasemekana ana masters kutoka tumaini
Hii nimeipenda.yaani sasa hivi tuna mpaka wachawi wenye digree zao! Safi!tena safi kabisa! Safi sana! Tumefanya kazi kweli kweli kwenye eneo hili la elimu. Kwa hiyo sasa hivi kila mtu walau ataweza kufanya mambo kisayansi.mkulima atalima kisomi na mchawi ataloga kisomi.
.
Khe hivi theofilo ni cha dini? Kama ni hivi basi tutakuwa na kina babu lukuki siku za usoni.
Tanzania kiboko pale kariako shimoni pana jamaa ana mtaji wa elfu 30 katika biashara ya ndimu analinda biashara yake kwa mtambo maalumu yaani hirizi tena ina pumua kama kiumbe hai.
Chezea Tanzania weye!
.