Ajali za magari Tanzania imekuwa ni kama ngoma ya mdundiko, ikipita mtaani hakuna anaesumbuka kuchungulia. Hakuna anaetaka kujua ajali ilikuwaje kuwaje, na tuna dili nazo vipi kama tatizo la kitaifa.
Mtu kafa kwenye ajali kafa! That's it. Bwana asifiwe na Inna Lilah Waina kibaaao... Nobody cares how it happened. Third world maladies.
Mkuu yatakuwa MA-CCM HAYA dah R.I.P brother
RIP Kamanda,alikua anatumia jina gani humu JF maana Heading inasema ni mwanachama wa JF
R.I.P Mtoi.
Fundisho tuliobaki: Tusikubali kuitika ulaghai wa Mbowe na Lowassa ili yakitukuta tuwe na amani.
Ma-CCM haya yamepanga hii ajali R.I.P brother