Mwana Usalama wa Kitaa

Mwana Usalama wa Kitaa

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,534
Reaction score
21,547
Jioni ya Jana nikaamua niende zangu uwanjani nikacheki vijana wakifanya mazoezi,,,Kwa kawaida mi si mtu wa vijiweni kabisa kwahiyo nikiwa kitaa kama nikiamua kunyoosha miguu Sana Sana ntaenda uwanjani. Sasa hapo ndo tunaweza kutana na wadau tukabadilishana mawili matatu.

Nikiwa pale nikachukua Simu yangu na kufungua app moja ya burudani,Mimi ni mpenzi Sana WA miziki Ile ya taratibu ikiwa endapo nimejisikia kusikiliza mziki,Ile miziki ya kubembeleza na kutuliza akili/slow jam,ndo naanza kusikiliza Ngoma ya Kwanza ya Luther Vandrose inaitwa "Dance with my Father" mara paap mwamba mmoja kafika kanipa salam nami nikatoa ear phone na kumuitikia. Nikiwa katika process za kurudisha ear phone na kusikiliza Ngoma, mwamba akaanzisha story so nikasitisha zoezi la kupata vitu laini na kumsikiliza mshikaji.

Kwa namna alivyokuwa anaongea na kuchambua mambo nikajua huyu atakuwa miongoni mwa wale jamaa waliosomea Cuba Kwa Mzee Fider Castro,,,,mwamba akaniambia Ile ishu ya Mama Samia kumnywesha Raisi wa Malawi Kinywaji ujue watu wanasema ovyo Tu lakini pale ujue kuna Jambo!

Mpaka hapo ikabidi nikae vizur kumsikiliza huyu mwanausalama wa kitaa.

Na mnukuu " Ujue sikia sio kila mtu anampenda mama,kwahiyo huenda Kule Malawi watu wake Kwa maana watu wa Usalama wamemwambia huenda kuna sintofahamu Fulani so mama awe na tahadhari Sana,ndio maana Mheshimiwa akaamua kama kuna ishu kwenye hii glass basi tutapata madhara wote na akaamua kumnywesha kile Kinywaji Yule mwamba" mwisho wa kunukuu.

Nikamuuliza Mzee wa Cuba," sasa je kama Yule Mheshimiwa huko mbele ya safari ikatokea kapata matatizo si huenda Mheshimiwa anaweza kudhaniwa vibaya?" Mwamba akiwa anajiamini na majibu yake akaniambia " Unajua hapo kuna matokeo matatu ima Mama ashinde yeye au apoteze au atoe droo"

Naamini wale mlio soma Cuba kama mshikaji mtakuwa mmemulewa vizur Sana. Kiukweli sikujuta kuacha kusikiliza Ngoma laini na kumsikiliza jamaa kwani alinipa Madini Mengi Sana. Mara paap! Adhana ikasikika kuashiria Mda wa Swala umefika hivyo nikaagana na Mzee wa Cuba na kuondoka,,,Ila next time nikikutana naye tena nitawapa yatayo jiri huko coz jamaa yupo na mambo mingi Sana!

Ni hayo Tu.
 
Ostaadh anasikiliza mziki hahahaha
Siwezi kuwa mnafiki mkuu,,,siku moja moja huwa nasikiliza,,,,na usinichukulie kuwa Ni ustaadh kivile ni mwananchi wa kawaida Tu ambaye anajitahidi kuwa mja mwema!
 
Mwambie huyo isalama ccm afatilie mambo ya msingi ya kujenga nchi siyo hayo na mahaba ambayo yanafehedhesha watanzania wazalendo kama mimi
 
Jioni ya Jana nikaamua niende zangu uwanjani nikacheki vijana wakifanya mazoezi,,,Kwa kawaida mi si mtu wa vijiweni kabisa kwahiyo nikiwa kitaa kama nikiamua kunyoosha miguu Sana Sana ntaenda uwanjani. Sasa hapo ndo tunaweza kutana na wadau tukabadilishana mawili matatu.

Nikiwa pale nikachukua Simu yangu na kufungua app moja ya burudani,Mimi ni mpenzi Sana WA miziki Ile ya taratibu ikiwa endapo nimejisikia kusikiliza mziki,Ile miziki ya kubembeleza na kutuliza akili/slow jam,ndo naanza kusikiliza Ngoma ya Kwanza ya Luther Vandrose inaitwa "Dance with my Father" mara paap mwamba mmoja kafika kanipa salam nami nikatoa ear phone na kumuitikia. Nikiwa katika process za kurudisha ear phone na kusikiliza Ngoma, mwamba akaanzisha story so nikasitisha zoezi la kupata vitu laini na kumsikiliza mshikaji.

Kwa namna alivyokuwa anaongea na kuchambua mambo nikajua huyu atakuwa miongoni mwa wale jamaa waliosomea Cuba Kwa Mzee Fider Castro,,,,mwamba akaniambia Ile ishu ya Mama Samia kumnywesha Raisi wa Malawi Kinywaji ujue watu wanasema ovyo Tu lakini pale ujue kuna Jambo!

Mpaka hapo ikabidi nikae vizur kumsikiliza huyu mwanausalama wa kitaa.

Na mnukuu " Ujue sikia sio kila mtu anampenda mama,kwahiyo huenda Kule Malawi watu wake Kwa maana watu wa Usalama wamemwambia huenda kuna sintofahamu Fulani so mama awe na tahadhari Sana,ndio maana Mheshimiwa akaamua kama kuna ishu kwenye hii glass basi tutapata madhara wote na akaamua kumnywesha kile Kinywaji Yule mwamba" mwisho wa kunukuu.

Nikamuuliza Mzee wa Cuba," sasa je kama Yule Mheshimiwa huko mbele ya safari ikatokea kapata matatizo si huenda Mheshimiwa anaweza kudhaniwa vibaya?" Mwamba akiwa anajiamini na majibu yake akaniambia " Unajua hapo kuna matokeo matatu ima Mama ashinde yeye au apoteze au atoe droo"

Naamini wale mlio soma Cuba kama mshikaji mtakuwa mmemulewa vizur Sana. Kiukweli sikujuta kuacha kusikiliza Ngoma laini na kumsikiliza jamaa kwani alinipa Madini Mengi Sana. Mara paap! Adhana ikasikika kuashiria Mda wa Swala umefika hivyo nikaagana na Mzee wa Cuba na kuondoka,,,Ila next time nikikutana naye tena nitawapa yatayo jiri huko coz jamaa yupo na mambo mingi Sana!

Ni hayo Tu.
Isije kuwa Uzi umepamda humu baada kuchoma majani ya Cuba tuu,ila usiache kuendelea kutuhabarisha story za Nzee ya Cuba🤔
 
Ujue sikia sio kila mtu anampenda mama,kwahiyo huenda Kule Malawi watu wake Kwa maana watu wa Usalama wamemwambia huenda kuna sintofahamu Fulani so mama awe na tahadhari Sana,ndio maana Mheshimiwa akaamua kama kuna ishu kwenye hii glass
Nimeishia kusoma hapa,muongo huyo kawadanganya, Rais husafiri na glass zake au hutumia za ubalozi ambazo hutazamwa kwanza pia, lazima ujue Rais hali hovyo ,hata hicho kinywaji sio ajabu wamenunua walinzi wake

Alafu sasa hivi kutokana na sayansi na teknlojia Rais hauliwi kishamba hivo, fuatilia Yasser arafat aliwekewa sumu kwenye nguo
 
Isije kuwa Uzi umepamda humu baada kuchoma majani ya Cuba tuu,ila usiache kuendelea kutuhabarisha story za Nzee ya Cuba🤔
Umetisha Sana mkuu! Ucjal nitashare
Nimeishia kusoma hapa,muongo huyo kawadanganya, Rais husafiri na glass zake au hutumia za ubalozi ambazo hutazamwa kwanza pia, lazima ujue Rais hali hovyo ,hata hicho kinywaji sio ajabu wamenunua walinzi wake

Alafu sasa hivi kutokana na sayansi na teknlojia Rais hauliwi kishamba hivo, fuatilia Yasser arafat aliwekewa sumu kwenye nguo
Sawa mkuu,,,maoni yako yatazingatiwa
 
Jioni ya Jana nikaamua niende zangu uwanjani nikacheki vijana wakifanya mazoezi,,,Kwa kawaida mi si mtu wa vijiweni kabisa kwahiyo nikiwa kitaa kama nikiamua kunyoosha miguu Sana Sana ntaenda uwanjani. Sasa hapo ndo tunaweza kutana na wadau tukabadilishana mawili matatu.

Nikiwa pale nikachukua Simu yangu na kufungua app moja ya burudani,Mimi ni mpenzi Sana WA miziki Ile ya taratibu ikiwa endapo nimejisikia kusikiliza mziki,Ile miziki ya kubembeleza na kutuliza akili/slow jam,ndo naanza kusikiliza Ngoma ya Kwanza ya Luther Vandrose inaitwa "Dance with my Father" mara paap mwamba mmoja kafika kanipa salam nami nikatoa ear phone na kumuitikia. Nikiwa katika process za kurudisha ear phone na kusikiliza Ngoma, mwamba akaanzisha story so nikasitisha zoezi la kupata vitu laini na kumsikiliza mshikaji.

Kwa namna alivyokuwa anaongea na kuchambua mambo nikajua huyu atakuwa miongoni mwa wale jamaa waliosomea Cuba Kwa Mzee Fider Castro,,,,mwamba akaniambia Ile ishu ya Mama Samia kumnywesha Raisi wa Malawi Kinywaji ujue watu wanasema ovyo Tu lakini pale ujue kuna Jambo!

Mpaka hapo ikabidi nikae vizur kumsikiliza huyu mwanausalama wa kitaa.

Na mnukuu " Ujue sikia sio kila mtu anampenda mama,kwahiyo huenda Kule Malawi watu wake Kwa maana watu wa Usalama wamemwambia huenda kuna sintofahamu Fulani so mama awe na tahadhari Sana,ndio maana Mheshimiwa akaamua kama kuna ishu kwenye hii glass basi tutapata madhara wote na akaamua kumnywesha kile Kinywaji Yule mwamba" mwisho wa kunukuu.

Nikamuuliza Mzee wa Cuba," sasa je kama Yule Mheshimiwa huko mbele ya safari ikatokea kapata matatizo si huenda Mheshimiwa anaweza kudhaniwa vibaya?" Mwamba akiwa anajiamini na majibu yake akaniambia " Unajua hapo kuna matokeo matatu ima Mama ashinde yeye au apoteze au atoe droo"

Naamini wale mlio soma Cuba kama mshikaji mtakuwa mmemulewa vizur Sana. Kiukweli sikujuta kuacha kusikiliza Ngoma laini na kumsikiliza jamaa kwani alinipa Madini Mengi Sana. Mara paap! Adhana ikasikika kuashiria Mda wa Swala umefika hivyo nikaagana na Mzee wa Cuba na kuondoka,,,Ila next time nikikutana naye tena nitawapa yatayo jiri huko coz jamaa yupo na mambo mingi Sana!

Ni hayo Tu.
Chawa mna wakati mgumu sana this tyme.

Ngona mchenga mdundo wenye chenga chenga
 
Back
Top Bottom