Mwana MMU jerrytz amepata ajali

Mwana MMU jerrytz amepata ajali

timeline

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2015
Posts
458
Reaction score
2,432
Member w

Kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba wamepata majeraha machache na wanashukuru wapo hai. Chanzo ni Lori kuhama upande
 
Pole sana kwa ajali@jerrytz Mungu mkubwa umenusurika Glory to almost God.
 
Pole jerrytz na utapate nafuu mapema.

Ila naomba Moderator na Invisible msaidie kubadili heading isomeke mwanaJF badala ya mwanaMMU, hii inapoteza umoja wetu kama wanaJF, nahofia itafika wakati watu watatambulika kwa majukwaa badala ya JF kwa ujumla wake.
 
Last edited by a moderator:
Member wa JF ambaye pia huwa anapita sana kwenye jukwaa hili anayejulikana kwa jina la jerrytz amepata ajali muda si mrefu karibu na daraja la Rufiji akiwa safarini kuelekea Lindi na Mtwara. Kwa mujibu wa aliyenipa taarifa ni kwamba wamepata majeraha machache na wanashukuru wapo hai.
Chanzo ni lori kuhama upande wake na kuligonga gari walilikuwemo.
Tuwaombee wapate nafuu haraka.

jerrytz get well soon
 
Back
Top Bottom