Mm nimempenda mpenz wang kwasababu alinitongoza mwenyewe na pia aniombi pesaNawasabahi wanajf wote!
Sina shaka mnaendelea vyema kama sivyo pole, chukulia ni kawaida kwa maisha ya wanadamu hapa dunia.Turudi kwenye mada, katika kutafuta wenza wengi tumekuwa na preference tofauti baadhi huangalia muonekano kama kimo, unene au ufupi na rangi .
Wapo ambao kabila ni kipaumbele cha 1, baadhi kigezo kikubwa ni inteligence background ya familia ya mwenza wengine mkwanja mimi binafsi vigezo vilikuwa mke mrefu mwembamba mwenye miguu mizuri ya nyama na makalio yaliyotokeza, macho meupe, suala la inteligence lilikuwa ni kipaumbele pia halafu awe kama alivyo no make up lipshine wala kushuka namshukuru Mungu kwa niliyenaye je wewe ulivutiwa na nini labda.
Karibu tuchangie mada nawasilisha
Haahaa mkuu umeniua ulivyomalizia .."eti akili hana"Mimi makalio ndio kilichonivutia xn akili hana
Hahaha eti mtakula maweSijui nilimpendea nini lakini kila nikimwona nna smile natamani kukakaa naye muda wote. sasa sijui tutakula mawe
Kweli mama maana unataka ukae nae kila wakati ukimwona lips zimespread kila mara kwakutabasamu yeye sasa alivyo nundaHahaha eti mtakula mawe
hahaha Naelewa kipenzi,Kweli mama maana unataka ukae nae kila wakati ukimwona lips zimespread kila mara kwakutabasamu yeye sasa alivyo nunda
ubusy ubusy tuu
haya siku njemahahaha Naelewa kipenzi,
Na kwako pia mammyhaya siku njema
Nilimpendea naniliuu yake.
huyu hata VANGUARD namuachia.......
unaandika kutoka wapiNilimpendea mabadilikooo yake anazungusha kiuno badala ya mikono kama chagadema
Wangu nilimpendea hela!Kwao wana "mpunga" sana nikaona hiyo fursa nikaichangamkia