Mwana JamiiForums, umewahi kukumbwa na aibu gani? Mimi ni hii

Shin Lim

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
7,022
12,534
Mimi kuna siku nilikaa na watu wa heshima huku tukiongea mambo ya msingi tu, sasa tukiwa tunaendelea kuongea, nikajisikia kupumua.

Nikasema isiwe tabu kwa sababu nikitoka nje nitapoteza muda, wacha niachie kimya kimya. Sasa wakati naachia, nikashindwa kubalansi moto na klachi na badala yake nikakanyaga mafuta mazima na ukasikika mlio TO TO TOM hadi aliyekuwa anaongea akasimama kwanza kupisha nyuklia. Nilijaribu kuanzisha mada ya dharura lakini hakutokea mchangiaji kwa sekunde kadhaa.

Aisee nilihisi kichwa kikubwa lakini hakuna aliyecheka ingawa walibanwa na kicheko na wakaishia kukohoa tu.

Je, wewe mwanjamii forum umewahi kukutana na aibu ipi?
 
Mimi kuna siku nilikaa na watu wa heshima huku tukiongea mambo ya msingi tu, sasa tukiwa tunaendelea kuongea, nikajisikia kupumua.
Nikasema isiwe tabu kwa sababu nikitoka nje nitapoteza muda, wacha niachie kimya kimya. Sasa wakati naachia, nikahindwa kubalansi moto na klachi na badala yake nikakanyaga mafuta zaidi ukasikika TO TO TOM hadi aliyekuwa anaongea akasimama kwanza kupisha nyuklia. Nilijaribu kuanzisha mada ya dharura lakini hakutokea mchangiaji kwa sekunde kadhaa.
Aisee nilihisi kichwa kikubwa lakini hakuna aliyecheka ingawa walibanwa na kicheko na wakaishia kukohoa tu.
Je, wewe mwanjamii forum umewahi kukutana na aibu ipi?

Kufumaniwa, HIYO YA KUJAMBA NI AFYA TU MKUU.
 
Siku moja ardhi kulikuwa nashindano la umiss, sasa siku hiyo tulianza kunywa castle mapema mapema tu sasa mpaka saa shindano linaanza nilikuwa tayari bwax, daa ikafikia sasa anatangazwa mshindi yaani nkapanda pale jukwaani nikasema huyu sio mwenyewe hastaili nikashushwa pale juu. Daa kesho yake nilikuwa naona noma sana.
 
Mimi kuna siku nilikaa na watu wa heshima huku tukiongea mambo ya msingi tu, sasa tukiwa tunaendelea kuongea, nikajisikia kupumua.
Nikasema isiwe tabu kwa sababu nikitoka nje nitapoteza muda, wacha niachie kimya kimya. Sasa wakati naachia, nikahindwa kubalansi moto na klachi na badala yake nikakanyaga mafuta zaidi ukasikika TO TO TOM hadi aliyekuwa anaongea akasimama kwanza kupisha nyuklia. Nilijaribu kuanzisha mada ya dharura lakini hakutokea mchangiaji kwa sekunde kadhaa.
Aisee nilihisi kichwa kikubwa lakini hakuna aliyecheka ingawa walibanwa na kicheko na wakaishia kukohoa tu.
Je, wewe mwanjamii forum umewahi kukutana na aibu ipi?

Hiii ni aibu yangu mwenyewe sithubutu kuisema
 
Hii aibu ya kukaa miaka kumi bila kuona mabadiliko imeniathiri sana kwa kweli!

Toka anaingia madarakani huyu jamaa nakumbuka mafuta ya taa nilikuwa natumwa nanunua kwa TAS 650/= kwa lita moja

mpaka sasa bei ya mafuta imepanda mpaka shs 1500, hebu fikiria inflation rate ya 230.77%! hii nyumba inaelekea wapi?

Mpaka sasa baba mwenye nyumba anazurura tu nje mpaka kufikia kutuambia kuwa atatuletea wasanii wa kutuimbia, watuimbie nini wakati sie huku tuna njaa??? hivi we baba una akili? hivi ntachezaje huku nina njaa? nikishatoka jasho nikaoge wapi we baba?? hebu kuwa na huruma!! kuishi kwako kwenye tawi, isiwe njia ya kutunyea sie tulioko kwenye mizizi chini!!!

Hii ni aibu tosha kuwa na baba kama wewe!

Shame on you GreenLabel.
 
Mimi kuna siku nilikaa na watu wa heshima huku tukiongea mambo ya msingi tu, sasa tukiwa tunaendelea kuongea, nikajisikia kupumua.
Nikasema isiwe tabu kwa sababu nikitoka nje nitapoteza muda, wacha niachie kimya kimya. Sasa wakati naachia, nikahindwa kubalansi moto na klachi na badala yake nikakanyaga mafuta zaidi ukasikika TO TO TOM hadi aliyekuwa anaongea akasimama kwanza kupisha nyuklia. Nilijaribu kuanzisha mada ya dharura lakini hakutokea mchangiaji kwa sekunde kadhaa.
Aisee nilihisi kichwa kikubwa lakini hakuna aliyecheka ingawa walibanwa na kicheko na wakaishia kukohoa tu.
Je, wewe mwanjamii forum umewahi kukutana na aibu ipi?

Ukifanya hii mbele ya watasha wanasema"Congratulation".
 
Mimi kuna siku nilikaa na watu wa heshima huku tukiongea mambo ya msingi tu, sasa tukiwa tunaendelea kuongea, nikajisikia kupumua.
Nikasema isiwe tabu kwa sababu nikitoka nje nitapoteza muda, wacha niachie kimya kimya. Sasa wakati naachia, nikahindwa kubalansi moto na klachi na badala yake nikakanyaga mafuta zaidi ukasikika TO TO TOM hadi aliyekuwa anaongea akasimama kwanza kupisha nyuklia. Nilijaribu kuanzisha mada ya dharura lakini hakutokea mchangiaji kwa sekunde kadhaa.
Aisee nilihisi kichwa kikubwa lakini hakuna aliyecheka ingawa walibanwa na kicheko na wakaishia kukohoa tu.
Je, wewe mwanjamii forum umewahi kukutana na aibu ipi?

Hawakula kiboga. Mkuu?
 
Nilikuwa guest of honor mahali at a school something to do with kutunza mazingira, kila kitu kikaenda sawa delivered a great speech. Kumbe kulikuwa na kupanda mti, wakati naelekea kwenye eneo la tukio mguu wa kushoto uliingia kwenye shimo, nilianguka face flat on the ground. Nikajitahidi kusimama upesi kumbe nilikuwa nimekanyaga skirt nayo ikashuka, watu wakaanza kunisaidia, wanafunzi wanakufa kucheka it was so embarassing kwa kweli.
 
Nilikuwa guest of honor mahali at a school something to do with kutunza mazingira, kila kitu kikaenda sawa delivered a great speech. Kumbe kulikuwa na kupanda mti, wakati naelekea kwenye eneo la tukio mguu wa kushoto uliingia kwenye shimo, nilianguka face flat on the ground. Nikajitahidi kusimama upesi kumbe nilikuwa nimekanyaga skirt nayo ikashuka, watu wakaanza kunisaidia, wanafunzi wanakufa kucheka it was so embarassing kwa kweli.

Pole mkuu ila nimecheka pia pole sana
 
Hii aibu ya kukaa miaka kumi bila kuona mabadiliko imeniathiri sana kwa kweli!

Toka anaingia madarakani huyu jamaa nakumbuka mafuta ya taa nilikuwa natumwa nanunua kwa TAS 650/= kwa lita moja

mpaka sasa bei ya mafuta imepanda mpaka shs 1500, hebu fikiria inflation rate ya 230.77%! hii nyumba inaelekea wapi?

Mpaka sasa baba mwenye nyumba anazurura tu nje mpaka kufikia kutuambia kuwa atatuletea wasanii wa kutuimbia, watuimbie nini wakati sie huku tuna njaa??? hivi we baba una akili? hivi ntachezaje huku nina njaa? nikishatoka jasho nikaoge wapi we baba?? hebu kuwa na huruma!! kuishi kwako kwenye tawi, isiwe njia ya kutunyea sie tulioko kwenye mizizi chini!!!

Hii ni aibu tosha kuwa na baba kama wewe!

Shame on you GreenLabel.

UMenchekesha sana mkuu:(
 
Hii aibu ya kukaa miaka kumi bila kuona mabadiliko imeniathiri sana kwa kweli!

Toka anaingia madarakani huyu jamaa nakumbuka mafuta ya taa nilikuwa natumwa nanunua kwa TAS 650/= kwa lita moja

mpaka sasa bei ya mafuta imepanda mpaka shs 1500, hebu fikiria inflation rate ya 230.77%! hii nyumba inaelekea wapi?

Mpaka sasa baba mwenye nyumba anazurura tu nje mpaka kufikia kutuambia kuwa atatuletea wasanii wa kutuimbia, watuimbie nini wakati sie huku tuna njaa??? hivi we baba una akili? hivi ntachezaje huku nina njaa? nikishatoka jasho nikaoge wapi we baba?? hebu kuwa na huruma!! kuishi kwako kwenye tawi, isiwe njia ya kutunyea sie tulioko kwenye mizizi chini!!!

Hii ni aibu tosha kuwa na baba kama wewe!

Shame on you GreenLabel.

Tena aibu hii ni yetu sote
Sijuhi akili zake huwa awazaga nini???
 
Aibu niliyoipata niliteleza kwenye ngazi za ndege nilivaa heels na kijihandbag changu nilipiga mweleka wa nguvu nikawasukuma mpk watu wa mbele yangu tukaenda chini wote
Nilivyonyanyuka macho yao yote yalikuwa kwenye viatu nilivyovaa ..aisee niliona aibu sana

Hii imefanana na yangu ambapo chupuchupu nidondoke Quality Plaza... Yaani nilishukia kwenye ngazi za umeme, sasa ile imefika chini mie nikadhan itasimama nishuke weee nikaona imeendelea ndo ikabidi niruke, teh baada ya kutua chini ndo nikaona aibu sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom