Wanaouza madawa pharmacy mbona wanalipa kodi? Ninyi mnaouza mafuta kutibu kichwa na wao wanaouza aspirin mnatofauti gani???
Kila biashara halali inayofanyika nchini inalenga kumsaidia mwananchi ila zote zinalipiwa kodi.
Haijalishi hayo mafuta yanatibu au hayatibu, Ila kwakuwa anafanya baishara ya kuuza maji na mafuta alipe kodi. Kama sivyo agawe bure.