MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
- Thread starter
-
- #21
Hii ni Huduma mpendwa. Na kuhusu Mafuta , yapo kila Mkoa.Mwambie afungue maduka ya kuuza mafuta mikoani kuna wajinga wengi huku atapiga pesa, iwe biashara rasmi na alipe kodi sio anauza mafuta kwa mgongo wa dini.
Ticket ni kwà ajili ya kutuhakikishia kwamba unatokea Mkoa gani.Watu wanahitaji sana majibu ya maswali yao lakini biblia imesema fedha ni jawabu la mambo yote wanasahau hata mwamposa naye anapiga kazi ili apate fedha imjibie maswali yake. Subirini tiketi muende nazo sjui zitawasaidia nn badala mpige kazi kibunda kije
Tupo live,...sasa ni SIFA NA KUABUDU....Haya sasa anza kusema NAPOKEAAAAAAAAAA................
Tupo pia Facebook, Instagram, Youtube kwà jina la #ARISE AND SHINE TANZANIA
Huo ujinga sifanyi, hayo magazeti atafute wapuuzi wa kuwauzia.Hii ni Huduma mpendwa. Na kuhusu Mafuta , yapo kila Mkoa.
Kwà hapo Dodoma, nenda mpaka kituo cha Martin Luther King,....shuka hapo...waulize boda waliopo hapo kituoni...kwà Mwamposa ni wapi? Watakupeleka.
Utapata Mafuta, maji, gazeti, karatasi ya maombi 12...
Karibu sana.
Ili isaidie nini kama utadanganya si umemdanganya Mungu mambo mengine sioni faida yake ni saikolojia tu ya kuwapiga watu sadaka zao.Ticket ni kwà ajili ya kutuhakikishia kwamba unatokea Mkoa gani.
Ukitoa mwl Mwakasege, wahubiri wengi wanyakyusa ni wachawi nguli 😎Hatimaye mnyakyusa tena kawakamata.....nimemmiss mwasapile Babu kikombe
Sio ya Freemason tena? Si mnasemaga freemason....daah wabongo banaHili neno nguvu yake ni sawa na lile neno HITTLER.
Kwa wazee wa kumezeshwa biblia nzima kilingeni.
Hizi ni kazi za kina Nana kwaku bonsam wa Ghana
Mpendwa, kinachoendelea huku ni nyimbo za Praise and Worship, ....Mtume atapanda muda si mrefu. Kama upo Dar, bado unayo nafasi ya kufika hapo KAWE.Nini kimetokea. Mpigie Yesu makofi mazuri. Hahaa.
Mtume ni cheo kikubwa sana. Hana hata mawazo hayo Ndugu yangu.BAADA YA MIAKA KADHAA SI WANAKUWA MATAJIRI NA KUINGIA KWENYE SIASA, HAPO NDIPO MNAACHIWA WACHUNGAJI KAPUKU MADHABAHU NA NYIE MCHEZEE.
SASA BASI WAKATI HUO HUYO JAMAA YENU AKIWA BUNGENI USIACHE KUTUONYESHA LIVE ATAKAYOKUWA ANAFANYA HUKO BUNGENI.
NOTE: Ni suala la muda tu.
Unaweza kufuatilia youtube liveHUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!
Naomba wahudumu mpeleke vikapu vya sadaka kila mahali.
Inuwa sadaka yako ya kujilipuwa juu.
Ayayayaaaa
Sina bando niwezeshe mtumishi.Unaweza kufuatilia youtube live
Siku ukikanyaga madhabauni kwà Mwamposa kutoa ushuhuda usiache kukisema hiki ulichokisema....Huo ujinga sifanyi, hayo magazeti atafute wapuuzi wa kuwauzia.
Sasa Ndugu hata ukijua itakusaidia nini?Hivi ni kweli kwa jumapili moja jamaa ana uza semi trela moja ya maji?