Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
raha ya hiyo makitu hubby kula kwa mikono! toka lini mboga za majani mchanganyiko hivyo ukatumia kijiko jamani??? tule kwa mikono bana, khaaaaaa!Khaaa! Na cacico na BADILI TABIA nao wako radhi kumkula? Mtatumia vijiko au vidole?
tobaaaaaaaaaaa! kwa hiyo hang'ati au haumi! lol, basi atumie mrija kunyonya kama meno hana, lol! Lily Flower utasutwa! khaaaa!Ni kibogoyo.
Hahahaha ungeliwaje kiboga sasa? LOL hebu come this way darling... kuna kitu specho nataka nikugee sirini.he he he he ulitaka nibaki na chakula halafu??? we umeona mtu analiwa halafu nikae naye, aku mie! nimejiendea zangu kwa babu, ananipaje vitu sasa?? napahawaje sasa?? Asprin wangu mi luv u! mwahhhhh!
kabla hujaniita nishafika! rabekha bby wangu, lol!Hahahaha ungeliwaje kiboga sasa? LOL hebu come this way darling... kuna kitu specho nataka nikugee sirini.
mambo pouwa besteeeeee! nakumisije sasa??Morning too! mambo vp besteee?
nimekukumbukaje sasa besteeee!mambo pouwa besteeeeee! nakumisije sasa??
Uko with au without?? Mi nataka!!kabla hujaniita nishafika! rabekha bby wangu, lol!
Hahahaaa nimeipenda hiyo,haina haja ya kuita watu sisi WANNE tu toshaaaaaa.
Miss u more mke mwee..... Asprin alinikunja jumapili(ana style mpya) mpaka nikashindwa kwenda job jana looh!
nitakuhagije nikija NASA kwako thatha?? lolnimekukumbukaje sasa besteeee!
tutamkwangua mpaka ukoko, chezeiya siye wao?? chezeiya watu na fani zetu? ebo!Hahahaaa nimeipenda hiyo,haina haja ya kuita watu sisi WANNE tu toshaaaaaa.
Miss u more mke mwee..... Asprin alinikunja jumapili(ana style mpya) mpaka nikashindwa kwenda job jana looh!
nipo without bby wangu, kula mpaka ukinai!Uko with au without?? Mi nataka!!