Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
Mwambieni Polepole Aogope Mungu na Teknolojia
Mleta uzi ni chawa duni sana! ndiye anayeongoza kuleta nyuzi fake zinazozuiliwa Jamii checkkumbe hamjamuelewa kabisa H.Polepole …
Polepole ana shida kubwa.Ana chuki iliyopitiliza dhidi ya utawala wa sasa
Mwongo we!Polepole ana shida kubwa.Ana chuki iliyopitiliza dhidi ya utawala wa sasa
Lakini JPM alitia Nia akachukua fomu na kujadiliwa. Na huyu hiki kilikuwa cha mpito, yeye kapindua ati awamu ya sita.
Tena JPM aliondolewa ndani ya kikao cha kumjadili akatoka nje huko akaenda kwenye migahawa kunywa chai ya Tangawizi hadi alivyoitwa baadaye na kuambiwa umepitishwa kwa taabuLakini JPM alitia Nia akachukua fomu na kujadiliwa. Na huyu hiki kilikuwa cha mpito, yeye kapindua ati awamu ya sita.
Baadaye Shibuda alijitoa baada ya Kikwete kumhongaKikwete si wanasema alipingwa na Shibuda? Hata hivyo kupingwa siyo Sheria. Kama watu wakijitokeza wanapewa nafasi.