Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,308
- 4,207
Unaambiwa ile 2015 Mwamba akamuweka pembeni Dkt. Slaa kwa kumkaribisha Lowassa lakini kabla ya hapo masharti ilikuwa Lowassa alipe dollar za kimarekani million moja kwa Mwamba.
Lowassa akampa cash, mwamba akatia mfukoni.
Mwamba Akaenda kumdanganya/ kumrubuni Mengi, Mengi naye akampa 1m USD.
Mwamba akakunja 2M USD pekee yake. Yaani hata hakuwapoza kina Lema, Boni Yai, Mnyika.
Mengi alipokuja kugundua baadaye mwamba alishapewa hela na Lowassa na kuingizwa chaka alichoka na kumaindi kichizi.
Lowassa akampa cash, mwamba akatia mfukoni.
Mwamba Akaenda kumdanganya/ kumrubuni Mengi, Mengi naye akampa 1m USD.
Mwamba akakunja 2M USD pekee yake. Yaani hata hakuwapoza kina Lema, Boni Yai, Mnyika.
Mengi alipokuja kugundua baadaye mwamba alishapewa hela na Lowassa na kuingizwa chaka alichoka na kumaindi kichizi.