Mwamba alietunyoosha huyu hapa

Mwamba alietunyoosha huyu hapa

Yaaji Eve uwasumbue wazazi halafu wewe uenjoy malezi, haipo hiyo. Hata mimi nasubiri kukinywea kikombe changu hapa🤣🤣🤣
Mimi sijamsumbua mtu hata 🤣🤣🤣🤣
 
Wanajifanya wasafi maanina
Yaani walizaliwa wakalelewa vizuri, wakawa wanaenda madrasa na wengine mafundisho ya ubatizo wakasoma wakafaulu, wakapata kazi tayari na kuoa na kuolewa 🤣🤣 watakatifu wote pita huku 😁
 
Inavoonekana zamani kupata gashi ilikua songombingo haswa.

Miaka hii ule vya jamaa namna hiyo hata upaja asione mbona atakubaka.
 


Nimechekaaaa mbavuuu cna, hakuna cha buree chini ya jua, hata pumzi unalipiaa, uwiiiiiiiih.

Ila Evee bhanaaaaa khaaaaah.
 
Aibu muhimu
Labda majirani wa zamani hawakuwa wanaa kama wa enzi hizi.

Ila kwa baba angu nifanye hicho kitu nitachapwa nizimie.

Nakumbuka adv
palikuwa na trip ya shule, na class yetu tukapanga trip kwa ile tarehe.
Home nikaenda kudanganya ni ile trip ya shule, nikapewa hela.
Mimi nikaenda trip ya darasa,, imefika saa 1 sijafika nyumbani sababu ya foleni za Dar.
Mshua kapiga simu shule
Aloo kuangaliwa jina hata kwa trip ya shule sikuwepo.
Mshua akanikaanga

Nikarudi home nikaipata fresh
Na kesho shule nikakipata cha moto ‘mishule ya jeshi tena inavyokuwaga na fimbo zao spesho zimekaushwa

Aisee nilikula mboko
Naulizwa nilikokuwa nakosa majibu ‘hapo sitaki kulichoma darasa maana ni wangetandikwa wotee.
Naulizwa ulikuwa kwa mwanaume? Nasema hapana madam me hata sijawahi hata ukinikagua
Sasa kwanini haukuwepo nyumbani na trip hukuwepo!?
Maswali yanasindikizwa na viboko.

Nilikoma sanaa
nyie mnanuchekeshaaaa.
 
jf Kila mtu malaika dadaa
Hongera zao mi Kwakweli nlikua na vitu vingi, kuna kipindi nlikua navutiwa na harufu za sigara sivuti ila nanunua naweka kwenye bag la shule basi begi madaftari vinanuka sigara tu nainjoi hadi basi
 
Duh, mliwatia aibu wazazi aisee, maza alificha wapi uso wake kwa majirani?

Ila malezi ni kitu kigumu sana...
Kwa stori ya Mleta mada huenda alipata kulelewa kwa sehemu Kubwa na Mama peke yake (Pengine Baba alikuwa mbali kikazi/Walitengana na Mama/Alitangulia mbele ya haki).

Kulea mtoto peke yako/ Single Parent iwe Me/Ke peke yake Lina implications Sana kwenye Malezi ya mtoto( Speaking from experience)

Kuna baadhi ya Tabia mtoto hawezi kuzionyesha/Develop Baba akiwa Mkali nyumbani.

Ingawaje suala la Malezi kwa Ujumla ni kumwomba Mungu asaidie tu.

Biblia inasema "Mlee Mtoto katika Njia impasayo(ya KiMungu) naye hatoiacha hata atakapokuwa Mzee"

Anyhow, huenda Mleta mada amekuja kuchangamsha Kijiwe lakini Lesson learnt.

Mungu atusaidie kwenye Malezi ya Watoto wetu, manake tunawalea kwenye kipindi kigumu Cha Utandawazi, Ubusy wa Utafutaji Mama/Baba wote wako busy kwenye kutafuta hivyo majukumu ya kulea tumewaachia Dada wa Kazi.
 
Back
Top Bottom