Mwalimu wa Sanaa/vipaji

Mwalimu wa Sanaa/vipaji

Mikongeni

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
32
Reaction score
4
Mimi na wenzangu tunashirikiana kuwasaidia vijana kukuza vipaji vyao maeneo ya Picha ya ndege/ Kwa Matias. Kama we ni mwalimu kwenye maeneo hayo na unajisikia kuwasaidia vijana ili wakuze vipaji vyao, niandikie email ili tuzungumze-resbijura@yahoo.com. Asanteni
 
asante ila ungeweka information zaidi hapo, kwanza tukianza comm inakuwa mteremko tu au ....!
 
asante ila ungeweka information zaidi hapo, kwanza tukianza comm inakuwa mteremko tu au ....!

Tupo kwenye hatua za mwanzo hivyo kama mtu anaguswa na hili, basi tunazungumza na yapo mazuri mengi mbeleni. Si vyema kuwachosha wana JF kwa details wasizohitaji. Nitumie ujumbe kwa email address hiyo na tutaongea zaidi. Asante
 
Mimi na wenzangu tunashirikiana kuwasaidia vijana kukuza vipaji vyao maeneo ya Picha ya ndege/ Kwa Matias. Kama we ni mwalimu kwenye maeneo hayo na unajisikia kuwasaidia vijana ili wakuze vipaji vyao, niandikie email ili tuzungumze-resbijura@yahoo.com. Asanteni

Kumbe Mpaka Niwe Najisikia? Kwahiyo Kuja Huko Nitakuwa Nakuja Na Ungo au Kwa TZ 11?
 
Back
Top Bottom