Mimi na wenzangu tunashirikiana kuwasaidia vijana kukuza vipaji vyao maeneo ya Picha ya ndege/ Kwa Matias. Kama we ni mwalimu kwenye maeneo hayo na unajisikia kuwasaidia vijana ili wakuze vipaji vyao, niandikie email ili tuzungumze-resbijura@yahoo.com. Asanteni